lamekiAgustino
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 481
- 1,320
Yani wewe sijawahi kukuona hata kwabahati mbaya.
kweli wewe nimbaya kiasi hicho hadi ujifiche namnahio kama bangi? hebu tubariki bhana
Yani wewe sijawahi kukuona hata kwabahati mbaya.
No, Yaani since nimenyoa January nikaweka na vi wave fulani hivi sijaweka tena naona wave imeisha. Si natakiwa kuweka tena saloon?Sasa si usingekata zote au?
Aiseeeee😍😍😂😂 short hair haikatai mtu la mama 😍😍 View attachment 2913087
Subiri watoto walale 🤣Pandisha kidogo basically tuone vaseline iliyvokolea.
That’s her 😆😆Aiseeeee😍😍
siopoa.tunafanyaje sasa mrembo🤣🤣Yah. Najua la kuvalia vimini sikunyimwa
Hahahahaha..umeibless Furahi day ya leoShukrani mkuu!
Mimi sina la kufanya na wewesiopoa.tunafanyaje sasa mrembo🤣🤣
mm mara nyingi wave naweka mwenywe. Nanunua na movit gel nmemaliza. Saloon kuzipunguzaNo, Yaani since nimenyoa January nikaweka na vi wave fulani hivi sijaweka tena naona wave imeisha. Si natakiwa kuweka tena saloon?
Mkoa gani huoHaha wee! Baridi gani? Siku hizi kuna jua mpk tunaoga maji direct kutoka bombani
Yani wewe sijawahi kukuona hata kwabahati mbaya.
kweli wewe nimbaya kiasi hicho hadi ujifiche namnahio kama bangi? hebu tubariki bhana
Arusha beib. Now jua linawakaMkoa gani huo
Arusha?
Ama unasema Dar
Unapunguza za pembeni?mm mara nyingi wave naweka mwenywe. Nanunua na movit gel nmemaliza. Saloon kuzipunguza
😂😂😂 we Blackcorn wee!!Li
Lips za kunyonya mpaka gari inagoma kwendaaaa.
Doo pole..mm navyopenda samaki siwezi kulala nikijua wapo jikoni sijawala...Niko pekee yangu😁😁hii mboga ni hadi Kesho usiku sio leo tu😁😁chakusikitisha chakula kimeiva nimeshindwa kula.only nyanyachungu na maji yakunywa🥺🥺
Hilo jicho linadondokaYa.. like this,, si unaona pembeni ya skio na kati havifanani? Nywele level 1 siwezi 😀
View attachment 2913112
Wakilala ntakukumbusha usiningushe.Subiri watoto walale 🤣
Let me keep myself busy jicho linadindishaaa.Ya.. like this,, si unaona pembeni ya skio na kati havifanani? Nywele level 1 siwezi 😀
View attachment 2913112
Kweli kumekuwa na joto🙌Arusha beib. Now jua linawaka
Sikuhizi tunafika 30
Baridi kwa kubeep sana mvua ikinyesha.
View attachment 2913099
Hapo lianguke? Na bado sijaonana na flying fish 😆Hilo jicho linadondoka