Selfika na JF: Snap it. Show it

Walikua na wivu tu
Wakikosa totoz wanazishutumu vocha
Vocha tumeacha kupost na bado totoz hawapati sijui wanasemaje sasa
khaaaaah
Tafadhari rudi ktk tabia yako, hii haikufai na siitaki kuiona kwako
 
Hahah siwezi kutoa coca, mimi sio verified...

Mchana huu, vitu vyote vipo macho
Nje ya picha, nlikua najuaga wee mbaba mtu mzima mwenye miaka yake, kumbee walaaa
Ni yankiiii tyuuu wee.
 
Walikua na wivu tu
Wakikosa totoz wanazishutumu vocha
Vocha tumeacha kupost na bado totoz hawapati sijui wanasemaje sasa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Muongeze sauti jamani!!

Sisikii madogo wanashangilia kwa makelele sana hukuu😁


#Sports and games 🙇


Story fupi fupi picha kwawingi wapendwaaaa
 
Jamaniiii naombaaa ufungukeee zaidi, kumbe mjep na tinsley walikua wananinanga huko mlimani city?

Hebuu sema yoteeeee, nasemajeee hebu fungukaaa nijue kulikoniiii.

Jamaniiiiiiii kumekuchaaa hapaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…