Wewe kila mara ulikuwa unamtumia huyo pimbi vocha PM na mara moja moja unamtumia hela mpesa.
Siku mmekutana mcity mlianzia utani hapa tena ukamwambia aje na cocastic. Jioni yake ukamcheki alikuwa ukonga, akaja hapo mkawa mnamnanga cocastic kuwa ana vituko sana. Kisha mkapata dinner, ukampa na wine then ukamkaribisha akaone hotel uliyofikia.
Baada ya hayo ukampa 30k na kumuomba kesho yake aje hapo mcity akusaidie kuchagua vyombo upelekee wake zako.