Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kompa for life.

Lala na hiyo ‘something is going on.
Afu unajua nshawahi isikiliza
Ila kuna moja hio ni instrumental haimbi mtu kuipata ndo inakua ngumu ukishazam inakuja something going on
Ila i’m very sure ile haimbi mtu
Nilitafuta for sometime nikaacha 😑😑
 
No comment sweetheart, haya nenda ukalale kabla sijakufukuza...

On my way my king your wish is my command 🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️😴😴💤😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴💤💤💤💤
 
Screenshot_20240220_205617_Muzio Player.jpg
 
Had to do a whole search 🤓
Nimeweka tu mdundiko walivyosuggest songs nikasema yupp...
View attachment 2910561

Will this do...? I kinda like it.View attachment 2910562
Mdunidko ni ngoma ya asili ya watu wa pwani huko au nimekosea?😅

Huyo aliyevaa shades,earrings and minyororo shingoni ni muimbaji au mzungusha kiuno? Or shabiki tu ametokea kwa video .
 
Mdunidko ni ngoma ya asili ya watu wa pwani huko au nimekosea?😅

Huyo aliyevaa shades,earrings and minyororo shingoni ni muimbaji au mzungusha kiuno? Or shabiki tu ametokea kwa video .
You are right!!Hii yangu itakua contemporary mdundiko! 😁😁


Eti mzungusha kiuno!🤣🤣
Ndo msanii mwenyewe sasa...
 
You are right!!Hii yangu itakua contemporary mdundiko! 😁😁


Eti mzungusha kiuno!🤣🤣
Ndo msanii mwenyewe sasa...
Hahaha! naona,how's the groove ya hizo contemporary mdundiko? Nipe taste ..

Yeah,nyimbo za asili,asilimia kubwa si huwa wanazungusha uno,naona hapo kama ni yenyewe basi sikuhizi ni kiboko maana mnavaa miwani kubwa kama blade na makoti kama solo.
 
Back
Top Bottom