Eeeh! Angalau sasa hivi umekuwa na mwili wa kiume sasa.
Heaven Sent sio mtu mzuri kabisa. Big up kwa new mkwe, kwanza kakufanya uitwe baba(maana ulikuwa unatamani japo mtoto ni mkubwa kuliko muda wa kutamani
) halafu amekupa amani unaonekana tu una furaha sasa hivi.