Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,942
Nazingua sina video yoyote 🤣🤣🤣🤣Ahh weeeh ! subutuuuu
Tuma bana unogeshe uzi story zimekua nyingi sana zinaharibu uzi!
Tupia mwaego
#Na picha
Nazingua sina video yoyote 🤣🤣🤣🤣Ahh weeeh ! subutuuuu
Tuma bana unogeshe uzi story zimekua nyingi sana zinaharibu uzi!
Tupia mwaego
#Na picha
What a sick Veg.
Zinaonekana hapo, we zooomKhaaa umejuaje??
😳😥Wale wa mizigo aka Fuso....View attachment 2898005
maana tungekuja kuona picha za hivyo wakiwa Location na Choir MastersMambo ya Location hayo
Mimi ndiyo maana nilimpiga marufuku Bibi yenu kuimba hata kwaya ya Church, maana tungekuja kuona picha za hivyo wakiwa Location na Choir Masters![]()


Umeona eeh 🤗Hahahahaha, hapo mahari 10m hutakiwi kulalamika kabisa
Bila hizi hadithi za Sungura na Fisi mngenikuta Babu yenu nimeshajifia Kwa stress 🤗Babu tupia acha hadithi za sungura na fisi 🤣🤣🤣🤣
Hao watu ni hatari Kwa Afya za waimba kwaya wa kike, kuja kutahamaki wife anajifungua mtoto kafanana na Choir master.maana tungekuja kuona picha za hivyo wakiwa Location na Choir Masters
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku Ile zile mboga ulizokuwa unakula tulizifananisha na hiziWhat a sick Veg.
Kwenda 😂Nyanya mbichi
SanaHii menu ya kibabe sana
Babu kiko umepata, sasa kwakuwa mi niko busy mtume yule bibi mdogo mweusi mwenye miguu minene aje akuchukulie kkoo 🤣🤣🤣🤣Bila hizi hadithi za Sungura na Fisi mngenikuta Babu yenu nimeshajifia Kwa stress 🤗
Si mnajua tuna miezi 3 hatujapata pension zetu Wazee 😜
Kwanza fanya unitumie Kiko zangu nilizokuagiza, maana si Kwa arosto hili Mjukuu 🤗
Bibi mdogo yupi Mjukuu🫣?Babu kiko umepata, sasa kwakuwa mi niko busy mtume yule bibi mdogo mweusi mwenye miguu minene aje akuchukulie kkoo 🤣🤣🤣🤣