Nakuletea mafoto soon leo ndio leo, nilikua na usongo sana wa kutupia mafotoStory fupi fupi picha kwawingi Kantri akee Lamama!
Naombapo utubles jamaneee
ukiwepo dasilamu just say hiNdo wapi huko? Utanipeleka lini babe nikale mdudu changamoto na mimi
Hapa sitoki, nimekaa chumba cha VAR kuzuia rafu zozote kwenye hii post🤣🤣🤣🤣🤣 Subiri wizzy aondoke kwanza
ewaaaah... wewe kumbe familia basi tu hahahaaHii ni Kimara eeeh??
Assssssssaaaannntreeeeeee! Will be waiting ukitupia usisahau kunitaggggg .Nakuletea mafoto soon leo ndio leo, nilikua na usongo sana wa kutupia mafoto
Mm nimeonyesha kosa nililiona kwenye VAR, maamuzi hufanywa na wengine.Hahahaa kazi ipo...
Rekebisha VAR yako...ina lenzi mbonyeo
Uzi kuchafuka sio lazima ugomvi au matusi..picha zinaweza kuwa nyingi nisione picha ninayo intend kuona...au comments zikawa nyingi kuliko kawaida bwa shee...Mm nimeonyesha kosa nililiona kwenye VAR, maamuzi hufanywa na wengine.
Kwahiyo unantisha??? 🤣🤣🤣🤣Hapa sitoki, nimekaa chumba cha VAR kuzuia rafu zozote kwenye hii post
🤣🤣🤣🤣 Au nikusaidie kuzitupia? 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Nakuletea mafoto soon leo ndio leo, nilikua na usongo sana wa kutupia mafoto
Mwenyekiti nakusabahi👋Assssssssaaaannntreeeeeee! Will be waiting ukitupia usisahau kunitaggggg .
Wapendwa huko hakuna ka sampo ka kufurahia kurudishwa kwa uzi jamane!! ☺️🤔
hahaha huyo hakuna chimbo asilojua....basi tu hayupo twnSema mimi siogei pombe kama wewe hahahhaa.
Tuje tumpeleke Mzigua90 asikae mjini kizembe
Iiiiiigggweeeeeeeeeeeeeeeeeee 😍NawasabahiView attachment 2897189
Salamu nimezipokea kwa mikono miwili katibuu Santo sana nakaribu sana kikaoniiMwenyekiti nakusabahi👋