Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,379
- 88,735
Sawa sawa ..
Tatizo ni sisi members tunaharibuHuu Uzi unanikumbusha kitambo hicho wakati unaanza ulikuwa mzuri sana...
Kabisa....Tatizo ni sisi members tunaharibu
Wakishirikishaga mapenzi tu wanaharibuKabisa....
Sasa hivi umefunguliwa ngoja tuone tena...
Ila kurudi kama mwanzo naona itakuwa ngumu.
SichujiUnakagua mzigo...kitu imekolea kiwi...wanasema kiatu kiking'aa na wewe unang'aaa pia

Sikuwah kujua km hu uzi haupoNaombeni sana tuzingatie taratibu na kanuni za JF kuepusha uzi kufungiwa tena na pengine kufutwa kabisa! Ni mada ya furaha tusiipoteze tena tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
shemejiii
We si ndo unapostig vyakula tunavyoviona kwenye series we unapika kwako daktare
machief wanaovaaga viatu vya ivi kwa unoko ni hatari