Mkalimani wa Bibi
JF-Expert Member
- Sep 6, 2017
- 801
- 3,143
kwa watu wanaojielewa laknUjumbe mzuri🤒
kwa watu wanaojielewa laknUjumbe mzuri🤒
Kwani usipouona siku 1 utakufa?Kuuona kivipi??, Mbona Niko hai??
Mie Sina tatizo kabisa na passport ninayo🤣🤣🤣Mama mchungaji nataka nikupeleke dubai
Mie Sina tatizo kabisa na passport ninayo![]()
leta ac number nifanye mambo fasta kabla ban la bidada halijaishaHee ilikuaje Tena?Usha fungwa mzee😃😃, ndo Mana tume kuja na come back part 2
Na toka umjue mbape![]()





naipenda tuu hiyo picha kaka, mbape kipenzi cha wadadaJmn kwani Cute Wife kala ban?leta ac number nifanye mambo fasta kabla ban la bidada halijaisha
Hiyo ngoma kavurunda, Bora nibaki na conboi.Intelligent businessman .. msikilize lunyaa vizuri ... jamaa naonaga anajitahidi sana🔥🔥🔥
Najua hunipendi ila it’s funny bro
Mwenzako nishahama nyumbani tho
Ukinionaga si unapata homa inabidi utembee na panadol
Ana ana hanadoo
We coming for you panya road
Ndomana tulikukataa
Kwa sababu we ni stupid
Utafika ila haunikuti (never never never)
Utaniona ila haunigusi (no no no)
Unafiki na majungu vilizidi🤒Hee ilikuaje Tena?
😅😅😅 nimependa mtembeo wake na mkono wa prodyusa.. na kali yani huwa nafurahi anavyo flowHiyo ngoma kavurunda, Bora nibaki na conboi.
🔥🔥🔥 ngoma kali hiiLet's do this, so we go prove it
Nani teacher, Nani student
Nani kichwa, Nani mpuuzi
Nani king, Nani queen
Conboi National Anthem