Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mapema kabisa siti ya mwanzo mwanzo nasubiria "Waraka" muwe na jumapili njema yenye furaha na baraka tele
Image_20230910_074750_Photos.jpg
 
🔥🔥🔥🔥

Blogers wanataka news
Wakinitukana nnavyojichekesha utasema napenda upuuzi
Na vile walikariri njia wakihisi wananijua nawabadilikia
Push michuma nabadili gia
Pesa za mama sio za kuringia
Fanya michezo ila usifanye mchezo na mi jumba bovu litakuangukia
Tukivuta sana tunavutia, kimenuka sema tunanukia
Walipanga kutuchafua na tupo saafi
So kibajaji unafananisha na mwendokaasi



Intelligent businessman
 
Intelligent businessman .. msikilize lunyaa vizuri ... jamaa naonaga anajitahidi sana🔥🔥🔥

Najua hunipendi ila it’s funny bro
Mwenzako nishahama nyumbani tho
Ukinionaga si unapata homa inabidi utembee na panadol
Ana ana hanadoo
We coming for you panya road
Ndomana tulikukataa

Kwa sababu we ni stupid
Utafika ila haunikuti (never never never)
Utaniona ila haunigusi (no no no)
 
Intelligent businessman .. msikilize lunyaa vizuri ... jamaa naonaga anajitahidi sana🔥🔥🔥

Najua hunipendi ila it’s funny bro
Mwenzako nishahama nyumbani tho
Ukinionaga si unapata homa inabidi utembee na panadol
Ana ana hanadoo
We coming for you panya road
Ndomana tulikukataa

Kwa sababu we ni stupid
Utafika ila haunikuti (never never never)
Utaniona ila haunigusi (no no no)
Hiyo ngoma kavurunda, Bora nibaki na conboi.
 
Back
Top Bottom