Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20230825-115302.png
 
nasubiri muamala tu hapa 😅😅😅.. dogo mwarabu walimpiga china wakanirudisha tena 🙏🙏🙏🙏.. ila muamuala wa DP World nausubiri 😅😅😅😅
Hongera sana👍👍
Sa mbona sikupewa mgao wa maombi niliyofanya😅
Au hujui walawi tunakula madhabahuni?

Dp 🌍 Ina wenyewe jmn 😅
 
Mchawi si lazima arogee wapendwa mwingine huyuu hapa ambae alijazia nyama kutoka kwahuyo mchawi wa hapo juuu !!
Teeeenaa huyu unyafuzi hiki kipindi alisema nahaha sana nimechanganyikiwa kwakua bado nampenda huyo mtu nakwamba mimi namuomba msamaha huyo mtu mwenye kapo zake mpya humu ili turudiane!!
Huyu alikua anachukua kila kitu ninachokifanya humu anaenda kumwambia jamaa na kunipondea sana!
 
Hongera sana👍👍
Sa mbona sikupewa mgao wa maombi niliyofanya😅
Au hujui walawi tunakula madhabahuni?

Dp 🌍 Ina wenyewe jmn 😅
😅😅😅😅 kazi ikifika stage flani.. inabidi bahasha zitembee tu hakuna namna..

Unapendeza, Mungu anakutunza .. endelea kutuombea 🙏🙏
 
Mchawi si lazima arogee wapendwa mwingine huyuu hapa ambae alijazia nyama kutoka kwahuyo mchawi wa hapo juuu !!
Teeeenaa huyu hiki kipindi alisema nahaha sana nimechanganyikiwa kwakua bado nampenda huyo mtu nakwamba mimi namuomba msamaha huyo mtu mwenye kapo zake mpya humu ili turudiane!!
Huyu alikua anachukua kila kitu ninachokifanya humu anaenda kumwambia jamaa na kunipondea sana nimejuajee bado naendelea!!

Kwan ni kina Nani hao
Kivumbi leo
Nachati sana vidole vinauma
Sijui kama nitapiga nyeto leo
 
Mchawi si lazima arogee wapendwa mwingine huyuu hapa ambae alijazia nyama kutoka kwahuyo mchawi wa hapo juuu !!
Teeeenaa huyu hiki kipindi alisema nahaha sana nimechanganyikiwa kwakua bado nampenda huyo mtu nakwamba mimi namuomba msamaha huyo mtu mwenye kapo zake mpya humu ili turudiane!!
Huyu alikua anachukua kila kitu ninachokifanya humu anaenda kumwambia jamaa na kunipondea sana nimejuajee bado naendelea!!
Duh🙄🤔
 
Back
Top Bottom