Naona bado hujasema, ila unataka kusema,
Kidampaaa mwenzakoo niko sehemu nimetulia tulii ndo maana sihangaiki na watu wengine au wasio nihusu, nakula, nashiba, nazagamuliwa afu nalala, ko makasiriko na hasira mie sio shida zangu.
Poleee weyeee ambayee unateseka na mie miaka yoteee, nishavuka hizo level,
Mateso na maumivuu ni endelevuuuu.
kwa kichefu chefu cha safarii hii basi utaharishaaa sio Kutapika tenaaa.