cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,308
Unajipigia debe humu kwamba una soko na rangi unayo, umedoda hadi umeamua kujifanyia marketing kwa maneno, picha yenyewe huweki kazi kupiga domo tu, hakuna mtu wa ku flirt na wewe humu.
Tuna flirt na pisi zinazojielewa, sio wewe Skin and Bones, huna kila kitu, Ptuuuu!!!
Umedoda weyeee unaetesekaa na mie, Una pisi ya kudate nayo weyeee, wee mwenyewe pisi uliyokosa hata wa kukupigia mluziiiii.
Mjombaaa maresh umebakiii na kusema "ptuuuuu"
Huwa si deal na vidampaa wasio jikubaliii, afu watu wazimaaaa, nataka kuchachuanaa na vigorii wenzanguuu.