National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
π π π π umenikumbusha mbali .. siku hiyo nipo ofisini kwa mkuu wa shule enzi hizo Kinondoni Muslim.. tumeongea badae nikapewa pindi la Physics, mie akili yangu ilikuwa inawaza mbali tu.. huku nachapa pindi.. uhuni huuu.. tungefungwaa wengine aisee.. vitoto vya Zanaki kule kimoja sasa hivi kimekuwa ki mwanasheria maarufu.. Umenikumbusha mapambano ya maishaNa umefundisha rajani secondary na mumbu Islamic.
hahaha tumuache tusije pewa lawama! Nilitaka mpa ofa aende kwa Martha akabadilishe oil.π π π naweza muharibu nikapewa lawama na wanao mtegemea.. msimu wa bata la 24hour unaelekea kuwa activated.. umuonavyo anaweza toboa huyuu.. au tumpe interview ya house party ya dhambi
Acha ni ringe kwanza
Nina shem wa uhakika
Hapa nasubiri mzigo wa vocha na sikugawii[emoji28][emoji28]
Si mwenyewe uliyaona yale maokoto ya jana[emoji12]
Mungu anipe nini tena?
Alikutana na wajanjaa alivuliwa penee kadhaaa,
Watu wakapita hivii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π π π π π Juzi alinitumia link ya VVIP.. ya grouo lao la telegram.. ( wateja waaminifu ).. nikachungulia nika left nikaona huu msala.. wengine ma simu ukiwa home unatoa password.. inakuwa simu ya mke na mume.. Ila ana wadada ukiwa mzembe mzembe unatoa laki tano alafu badae ukimaliza kupewa vitu, ndio utapambana na hali yakohahaha tumuache tusije pewa lawama! Nilitaka mpa ofa aende kwa Martha akabadilishe oil.
Kheeeeh mama sinyarii, tafadhari hivyo vipodozi ndo ulotaka umpe mke wa waziri mkuu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utafanya ivo ili bi Mkubwa apendeze nyumbani.
π π π siku hizi mie mwenyewe nanyoosha mikono.. siku kama nne.. nilikuwa natumia 5G.. dah! bubdle kama mtu ana mwaga maji aisee.. niliomba poo mwenyeweShida una hisi wote tuna tumia fiber ya hapo kwakoπ€£ππππ€
πMb ni ghari aiseπ
HalotelNimesubiri unitajie ya mtandao gani mpk nimechoka!!! Si unajua mwenyewe niko kudanga mbalali wanakovuna mipunga huku so dukani nimemuacha kijana yeye ndo nampa maelekezo ya kutuma!! Kesho mapema vocha ya buku 10 sema mtandao kabisa
12k hahaha nimo mule kitambo Sana.π π π π π Juzi alinitumia link ya VVIP.. ya grouo lao la telegram.. ( wateja waaminifu ).. nikachungulia nika left nikaona huu msala.. wengine ma simu ukiwa home unatoa password.. inakuwa simu ya mke na mume.. Ila ana wadada ukiwa mzembe mzembe unatoa laki tano alafu badae ukimaliza kupewa vitu, ndio utapambana na hali yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata hawajariii. Na habari hawana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mabomu sio mazuri afu ndo watu wanataka vita wee Thubutuuuuu!!
Sio Somalia hapa bomu linapigwa kwa jirani yako, wewe ndo kwanza unakata tonge la ugali km hakuna kitu kimetokea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shemu wako ajira aitoe wapii? Yeye mwenyewe aombee kwa kuwa alisoma mambele ndo akapata fevaa, vinginevyo angekua ananilagjai "kuna mchongo nausikilizia".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie muongo switihatiiii?? Mjep
Habari ndo nakupa sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usinambie?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yatakushinda weyeeee, unayaweza lakiniii??
π π π Mungu atuokoe tu.. huwa niki kumbuka fantasy zake najikuta moyo unataka tena na tenaa.. kuna ka moja kama somalia kalipiga body to body moja matata alafu akaniweka kwenye 18... ya amount flani ya hela nikaona hapa napigwaa.live ,π€£π€£π€£π€£ tulijikuta asubuhi hii pamekuchaaa .. Sema hihi karibuni nakuachia viatu vyako.. vikubwa sana12k hahaha nimo mule kitambo Sana.
Babu ndio Nani!
Chino namuombea msamaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] taratibu wee mama sinyarii, mama PM anatumia OG, sio yako ya hongkong.Eee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naye akawe pambe mama PM awe ngβaringβari
Weka basi maokoto ya leo[emoji1787]Shem pic za google zile sio za maokoto yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtaji wa vijora wenyewe laki ndo ntapata mzigo km ule??
Ukweliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si Babu wa kitaa yule mibange wa clouds humjui?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]