Haswaaaa!! Shem akitangaza ajira unishtue nimpeleke babu akawafanyie interview huenda anaweza kupata chochote kitu
Basi naacha leo vya mwisho kesho naanza mfungo sitaki ugomvi na mtu
Babu ndio Nani!Haswaaaa!! Shem akitangaza ajira unishtue nimpeleke babu akawafanyie interview huenda anaweza kupata chochote kitu
π π π naweza muharibu nikapewa lawama na wanao mtegemea.. msimu wa bata la 24hour unaelekea kuwa activated.. umuonavyo anaweza toboa huyuu.. au tumpe interview ya house party ya dhambiMichezo yako uliyoianzaga toka ukiwa form two bado hujaacha tu?
Oya National Anthem kamzululishe kidogo kijana
Sawa tu π π π π πππUsikumwema
π π π π nyie nakuja hukoo.. nita wa suprise woteee...Oyaa National Anthem ona hi manzi Ime Anza kuni igaa ninapo kaaπ€£π
Nimecheka
Njoo Niku geuze msukule π€£ππ π π π nyie nakuja hukoo.. nita wa suprise woteee...
C c Unique FlowerNjoo Niku geuze msukule π€£π
Na umefundisha rajani secondary na mumbu Islamic.π π π π sawa .. ujue mie nimekulia Bugweto.. unapajua.. nimesoma old shy nimeolea "Ng'waji....." haya sawa acha nilale kesho nayo siku
Daah uzuri nili Soma chini ya mbuyuπ€£π, Kama vipi niue tuπ€£πMichezo yako uliyoianzaga toka ukiwa form two bado hujaacha tu?
Oya National Anthem kamzululishe kidogo kijana
Aiseeπ€£ππππππ
Asante shem
Ila nasubiri zawadi yangu ya vocha ujue
Au coca kakurubuni na maneno ukampa??
Shida una hisi wote tuna tumia fiber ya hapo kwakoπ€£ππππ€
π€ππ€£π€£π€£Utarogwa me simo!!! Mwenzio kijukuu cha mtume sirogeki si kwa ndumba la tunguli wala kombe!!! Dawa za kunywa nimeoga, za kuoga nimekunywa!!!
Nina chale mwili mzima km kibao cha kashata, usafiri natumia fisi km napanda farasi yani
Familia kwanza ππ€£π€£π€£Nimesubiri unitajie ya mtandao gani mpk nimechoka!!! Si unajua mwenyewe niko kudanga mbalali wanakovuna mipunga huku so dukani nimemuacha kijana yeye ndo nampa maelekezo ya kutuma!! Kesho mapema vocha ya buku 10 sema mtandao kabisa
uduguuuu niwachee ebooh!!
Hapa sina mbavuu.
π π π π umenikumbusha mbali .. siku hiyo nipo ofisini kwa mkuu wa shule enzi hizo Kinondoni Muslim.. tumeongea badae nikapewa pindi la Physics, mie akili yangu ilikuwa inawaza mbali tu.. huku nachapa pindi.. uhuni huuu.. tungefungwaa wengine aisee.. vitoto vya Zanaki kule kimoja sasa hivi kimekuwa ki mwanasheria maarufu.. Umenikumbusha mapambano ya maishaNa umefundisha rajani secondary na mumbu Islamic.
hahaha tumuache tusije pewa lawama! Nilitaka mpa ofa aende kwa Martha akabadilishe oil.π π π naweza muharibu nikapewa lawama na wanao mtegemea.. msimu wa bata la 24hour unaelekea kuwa activated.. umuonavyo anaweza toboa huyuu.. au tumpe interview ya house party ya dhambi