Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….. Ila nilifaidi banaaa ,
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… aisee kabla sijao nilikuwa napenda magari kuliko chochote.. baada ya kuoa ananza wife .. yanafata magari.. but gari zenywe mwendo ndio napenda mjerumani.. sio hawa wajapan.... umeona hii chuma
 
Ya kula kwanza yakiwa mengi nauza
Mvuaa Ime Anza kunyesha huko??, Kama una hela, Anza hata na heka3-5.
πŸ‘‰Chunguza Gharama za kukodi shamba, shamba Lina rutuba ya asili??,
πŸ‘‰Eneo la shamba likoje??- isije mvua Kali ika beba mazao..
πŸ‘‰Zijue hatua zote na mahitaji yanayo hitajika, - mbolea, mbegu, vibarua. Upaliliaji.gharama za kulima Aaliyyah πŸ˜‚πŸ˜πŸ€—
 
Bado next month watu waaanza kukodishq mashamba na kuandaa mwez wa11 mara nyng Huwa zinaanza mvua
Huu ndo ushirikina nilio mwambia Grahams au ache.
πŸ‘‰Tubadilike ndugu, you cannot depend on a thing which you are not directly involved in it's process.
πŸ‘‰Una shingapi?? (Mtaji) Ili nikupe ushauri vizuriπŸ€’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…