Selfika na JF: Snap it. Show it


Nilitoka mara moja udugu

Wee emu nifungulie code mbona mazito

Ko kuna watu humu wamepoteza ubingwa na hawataki kujikubali???

Km unawajua wataje
 
Babu nasikia unahonga kilo kilo za kushatoo sio shida zako kabisaaa

Babu unajitafunia mifupa tyuuu!! Wacha wee
Hela za kuhonga natoa wapi Babu yenu, na hivi naishi kwa Kulima na Pension za kustaafu tu 🤪

Kwanza hizo nguvu za kukimbizana na Wajukuu nazitoa wapi kwa umri huu 🤪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…