Cute mimi kama mimi ugomvi siuwez hasa mambo ya kusutana nime observe kuna watu hawapendi kuona watu wakicheka vzr kuhusu mm kugeuza maneno ya kumtambia country kuwa nimekutana na wewe ilo nililosolve na niliongea kama joking lakini baada nikafuta
Mm huwa naongea utani sana sana kama jana hapa nimesema mjep kaniazima 70k lakin mm nilionge for joking ndio maana walicheka tu yey na national
Hakuna kitu kinaumizaga moyo kama maneno so pleas naomba njoo pm tuyamalize