Selfika na JF: Snap it. Show it

Elewa neno KIFINYIO [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
pole chief kumbe watu wana wivu namna hii
Mimi pia na vivocha vyangu nimekua victim [emoji16]
Nibalaa
Hee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au ndo maana siku hizi huweki weki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yesu wangu,
Majobless tutaishije sasa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



Wakuache kabisa
Katika watu wataoingia Mbinguni moja kwa moja na wewe upo.
 
Sasa picha walipeleka pm kwa mtu ya Nini?
Ila nyie Kuna vitu vinachekesha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa huyo waliyempelekea anawaonaje?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ni vingi vinapelekwa mpk tukaifunga piem yake!! Me naona kuna watu wanampenda Kantri wanashindwa kumwambia wanatumia maneno ya kuniponda ili wampate sijui?!!!!

Afu mbona Kantri yupo muda humu walikua hawamuoni?? Hebu Kantri njoo uwaambie me na wewe tukoje?? Maana nilikukataza usiingie huku, ila kwa hili njoo ulitolee maelezo leo tufunge mjadala
Countrywide njoo honeyyyyyy [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
 
Ujue eti wanatuimbia parapanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Yaani nilicheka sana.

Mimi na HS tulicheka ,tukasema Mungu atupe uhai tusife mwaka huu.
Tukifa mbona ndo wataongea sana[emoji1787]
 
Ujue eti wanatuimbia parapanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Yaani nilicheka sana.

Mimi na HS tulicheka ,tukasema Mungu atupe uhai tusife mwaka huu.
Tukifa mbona ndo wataongea sana[emoji1787]
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wehu tu banaa.. sema mama mchungaji walimkosea sana.. ujue bora wangezusha nipo na Unique Flower tuu
 
S
Ujue eti wanatuimbia parapanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Yaani nilicheka sana.

Mimi na HS tulicheka ,tukasema Mungu atupe uhai tusife mwaka huu.
Tukifa mbona ndo wataongea sana[emoji1787]
aint naomba niitie Simara
 
Au wanataka muachane
Kamati ya roho mbaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Uzuri wanaume Wanajitambua na ni waelewa

Wangekuwa wa kukazwa upepo na kusikiliza maneno,aisee
Mahusiano yasingedumu..kuna vichaa humu[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…