Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,568
- 235,405
Dah[emoji23][emoji23][emoji23]Ila nimecheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie kumbe mna haki kunidis km sura zenyewe ndo hizo za SONGESHA [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Babe ako si anawapondea Maticha[emoji3], huyo atakuwa yupo BOT,
Mkuu kichwa kichafu,upo?Aisee
Imefikia Huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa nilivyochafukwa subiri nina trip moja matata sana nitamwaga maselfie humu mpk wenye uchungu wazae watoto njiti [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Thawa.zote za zamani[emoji23]Usisahau kuselfika mlongo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mpwayungu ni ticha aliekimbia kazi ya kufundisha
Hivi huu wimbo kaimba nani?Huyo babe ako ni yupi???
Namtafuta haniii yangu,haniiiiiii,haniiiiii[emoji1323]
Hii kitu imekuumiza sana lakini kwa nini usimtaje ili iwe funzo kwa wambea wengine [emoji51]
Dah[emoji23][emoji23][emoji23]
Huu uzi bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi kwani ni akina nani mnaosemana
Mbona sielewi[emoji23][emoji23]
Au ngoja nisome[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umbea huu[emoji23][emoji174]
Ila macho hayana pazia
Ngoja nisome.
Mda mwingine anakela anashindwa jishikiliaUnalo leo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zuchu kaimba, watoto ni shida tu kitaa.Hivi huu wimbo kaimba nani?
Ni sku ya tatu namsikia mtoto anaimba,sijui kautoa wapi.
Sitoi kiki ila msg sent
Afu mbona wewe siku ile tulikubembeleza na coca umtaje yule mtu ukala njoro [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo mtu aliyepeleka pic kaenda na Iβd mpyaβ¦ sema nenee tuwapotezee watu wenyewe hawajiamini wanakimbilia piem za wanaume hovyo
Halafu siku ile nilikuwa nataka nichangamshe uzi wa selfika ila wewe na amini hii kitu ni kweli maana toka jana ni bora ukapotezea bestπSitoi kiki ila msg sent
Afu mbona wewe siku ile tulikubembeleza na coca umtaje yule mtu ukala njoro [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo mtu aliyepeleka pic kaenda na Iβd mpyaβ¦ sema nenee tuwapotezee watu wenyewe hawajiamini wanakimbilia piem za wanaume hovyo
π π nilichekaa.. alafu nikaona hurumaTengeneza cake utasutwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi yule aliyekuzushia na akaleta pic zako akasema mlikuwa na member wa humu ni nani??
mbona hawakimbilii PM zangu au kwasababy sina demu [emoji19][emoji19]
Mkuu kichwa kichafu,upo?
Nimefurahi kukuona Mkuu..kitambo sana sijakutia machoni humu jukwaani.
ππΎββοΈπππTengeneza cake utasutwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi yule aliyekuzushia na akaleta pic zako akasema mlikuwa na member wa humu ni nani??
ππππ π nilichekaa.. alafu nikaona huruma