National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
nataka nikupe mashamba mengine wewe na Nuzulati 😅😅 mlime bangeKazana kulea hakikisha wanashinda shambani, maana naona una mashamba makubwa sijui ni Mbeya hiyo![]()
nataka nikupe mashamba mengine wewe na Nuzulati 😅😅 mlime bangeKazana kulea hakikisha wanashinda shambani, maana naona una mashamba makubwa sijui ni Mbeya hiyo![]()
weee naijua hio.Sio mimi mkuu ni Google imetenda miujiza😁😁
nakusubiri ubungo 😅😅Niko Vikindu saivi





weka picha hapa Acha kulia lía.au unawapiga chabón wenzako tu?Mie sitaniani nawatu sio wasijawazoea kata shobi sina time nawewe wala sikujui
Halafu kina nani hao🤔, make up holders😂🤣n
nuzurati nimrembo mkuu waasili sio hawa makeup holder's
Mkuu muache rafiki yangu😁, Unique Flowerweka picha hapa Acha kulia lía.au unawapiga chabón wenzako tu?
Tumchambee shagasti asikuzoee mshamba_hachekwi
hizi id mpya hazina hata mwezi zinakuja humu kusumbua watu aisee nahisi ni kipenseli aisee😂mwingine kaiba pic yangu kaedit lkn imemgomea hapa nasubiri alete pic yake naye afu mshamba_hachekwi nakuangalia unavyonitafuta acha usnitch dogo u shem utaisha ss hivi
Tatizo sina time na wewe kilaza so utabweka humu hadi uone unachart na hewa umeelewa acha kihere here na mitumbo cha funza mind your businessweka picha hapa Acha kulia lía.au unawapiga chabón wenzako tu?
mambo?Tumchambee shagasti asikuzoee mshamba_hachekwi
Hapana saivi ili ache mazoea na dada zakeHuyo ipo siku yake we muache anizoee




Aisee..Me kulima hapana nishazoea kuuza vijora![]()
Tatizo sina time na wewe kilaza so utabweka humu hadi uone unachart na hewa umeelewa acha kihere here na mitumbo cha funza mind your business
Poa acha uchokozi hawa ni dada zako umeelewa ipo siku ukiumwa watakutunza haya jishaue humu utengwemambo?
haya bana,Poa acha uchokozi hawa ni dada zako umeelewa ipo siku ukiumwa watakutunza haya jishaue humu utengwe
😅😅😅😅 so utashika mimba ingineAcha ufara wewe njoo huku umalizie bao lako na leo zamu yako kutoa mutoto yule wa mwishoo😂🤣🤣
Nitakua hapo soon.nakusubiri ubungo 😅😅