Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo kwa Kantri nishalia sana na maombi ya novena juu!!! Ss hivi nilisema siongei kitu chochote, nitakua nakuangalia tu!!

Nawe unaliaga na nani humu? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Naliaga acha kabisa
Nikiona battle ntashindwa naanza mapema kulia

Jamaa mdhaifu mno kwenye machozi.
Yupo busy anapambana na hali yake kutafuta pesa..hashindi humu
Atashindaje huku 🀣mwishowe awe Mbea bure πŸ˜‚
 
Naliaga acha kabisa
Nikiona battle ntashindwa naanza mapema kulia

Jamaa mdhaifu mno kwenye machozi.
Yupo busy anapambana na hali yake kutafuta pesa..hashindi humu
Atashindaje huku 🀣mwishowe awe Mbea bure πŸ˜‚
Me naliaga mpk nakuwa mwekundu, hata simu sipokei!!!! Nitashinda nalewa, Hasira zikiisha namtafuta babe wangu nitajituma hiyo siku km shangingi la magomeni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Me situnzi hasira za muda mrefu napenda sana kucheka, niikimmiss na yale maujinga yetu basi namtafuta
 
Eti shangingi la magomeni🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Ila leo umenichekesha hivi unajua nikikumbuka tu nacheka peke yangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
We chizi ujueπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† shauri yako
Huenda unalijua, huyo last born wangu mnafanya naye kazi huko mjini πŸ€ͺ
Babu unatupiga hadi sisi wajukuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…