Akuuu kuna demu namchukia ila nikipona nitamchamba ila kwa sasa wewe noma hadi picha ninayo hivi yule alikuwa mhindi eh kuchi kuchi umeonekana ukiwa kwao masaki unalalia vitanda vya gharama
Yes , nasema ukweli ila mtoto mzuri aisee kawaka huyo manager amemnunulia gari fulani majuzi tu na bado mwenzako akaitwa na mwanadada hao kwake wakapiga za kwao hadi asubuhi kaachwa kwa demu hadi alipoamka ndio manaa siku hizi mbili alikuwa hayupo alikuwa anatafuna kitumbua toto gugu hajakuambia
Hakuna kuna mpya mpya ndio ilienda tanga na dada ake ndio maana nilitaka kukupa huo umbeya saivi mtalia sana mwanamke ananyonga kiuno kama mhindi . Yaani mwaka huu mtaibiwa sio huyo tu wotree humu.