Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,580
Vijana waliruka "figures of speech" kipindi wanasoma language
Usikubali kinyonge, sifa huendana na kile unachofanya. Ndio maana unaona kuna watu wanaitwa chawaSawa
shem ngoja nikubali tu
Vijana waliruka "figures of speech" kipindi wanasoma language
Villager ni metaphor.
Mtu akifanya mambo flani hivi ya hovyo huwa tunamuita mshamba, na mtu akifanya mambo flani hivi ya kijijini tunamuitaje? Yes lazima maisha ya ukijijini yawe tofauti na mjini, ndio maana huwezi kuvaa manati mjini, au utake kwenda kukata kuni tabata
Kwahiyo miki chawa ahahaha ila naipend kazi yanguUsikubali kinyonge, sifa huendana na kile unachofanya. Ndio maana unaona kuna watu wanaitwa chawa
SawaBhangi hizo em acha basi, njoo nikwambie kitu kizuri babe
Sijui hata unaelewa nn naandika. Hapo nimeweka mfano, kwa sasa hivi ndio maana unaona watu wengi wanaitwa au wanajiita chawa.Kwahiyo miki chawa ahahaha ila naipend kazi yangu
Niliwawekea jr mdogo anko!!Duuh aisee nimepitwa mimi ππππ.
Hongera huyu ni namba 2 sasa
Muweke tena nimuone βΊοΈ. Nilipitiwa mimiNiliwawekea jr mdogo anko!!
Kicheko ni afyaa kipenzi cheka tu utanue mapafu! Mambo ya jf yanafurahisha sana!Udugu unakazia
Mbavu zinaniuma mjue!!!
Jamani ngoja nilale kidogo kwanza dawa kali
Kabisa nipo kwenye mchakato wakuingua kwenye kiwanda cha sanaaSijui hata unaelewa nn naandika. Hapo nimeweka mfano, kwa sasa hivi ndio maana unaona watu wengi wanaitwa au wanajiita chawa.
Sasa wewe na uchawa wapi na wapi? Who knows you? Huo mfano unalenga wale ambao wanajulikana hivyo (baba levo, mwijaku n.k)
Kwa kweliAsante babuu watoto ni baraka acha tufyatuee tuijaze dunia kama baibo ilivoagiza!!
Huyu watatu mkubwa ni dada yao ankoo!! Nimezeeka mimi uwiiii!!ππDuuh aisee nimepitwa mimi ππππ.
Hongera huyu ni namba 2 sasa
Unaogopa nini na vitendea kazi vipo babuu??? Umri bado unakuruhusuuu !! Mjukuu wako tu nina 53 hapa nimebakiza kufyatua wawili watimie watano!! Wanaume hamzeeki kama sie so zaa kwaraha zakoo babuu!Kwa kweli
Babu yako mwenyewe nisingekuwa mwoga wa maisha ningefyatua wa uzeeni π€ͺπππ
Umezeeka?? Aah wapi.Nimezeeka mimi uwiiii!!ππ
ππππππ Nacheka kama mweu.nina 53
ndio 53 ankoo π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£!ππππππ Nacheka kama mweu.
Nipo nje hapa kijiweni watu wananishangaa
Eti nn 53 π€£π€£π€£π€£π€£
53 hiyo kwiondio 53 ankoo π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£!
Jf sihamiiiiiiπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊ!!
Mniwacheee na godauni languuu la kotaz kwaniii nina furaha kama zotreeee sikuhizi!!πΊπΊπΊπ€ !!53 hiyo kwio
Kweli nyumba tutajenga 2033.
Acha tujizeeke kotazi ππππ.
Mayai matamu lakini kwenye chipsπ€£π€£π€£π π π π
Nimecheka sana leo ile komenti ya Jamaa kuwa mayai wamelia chips π€£π€£π€£π€£π€£π€£!!53 hiyo kwio
Kweli nyumba tutajenga 2033.
Acha tujizeeke kotazi ππππ.
Mayai matamu lakini kwenye chipsπ€£π€£π€£π π π π