Selfika na JF: Snap it. Show it

53 hiyo kwio

Kweli nyumba tutajenga 2033.

Acha tujizeeke kotazi πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.

Mayai matamu lakini kwenye chipsπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Mniwacheee na godauni languuu la kotaz kwaniii nina furaha kama zotreeee sikuhizi!!πŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ€ !!

Aahh nimetulia Zangu kotaz silipii Kodi wala sishtukii hataa na wala sijareeeee wala nenee πŸ€ πŸ€ πŸ€ πŸ˜‚πŸ˜‚!! !
 
53 hiyo kwio

Kweli nyumba tutajenga 2033.

Acha tujizeeke kotazi πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.

Mayai matamu lakini kwenye chipsπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Nimecheka sana leo ile komenti ya Jamaa kuwa mayai wamelia chips 🀣🀣🀣🀣🀣🀣!!
Hakuna kitu kinaleta faraja na furaha kama Watoto ankoo!
 
Godown kwa kweli. .

Alafu tonnia zile chunusi ulizipata lini mbona hukusema au ni nyakiboo kumeku kondesha mpaka uso umechachuka.

Kama dekio la guest house embu ujee DSM ungae vizuri.

Yaani chunusi kama ukoko wa makande ptuu unaniangusha auntiee


🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Nimecheka sana leo ile komenti ya Jamaa kuwa mayai wamelia chips 🀣🀣🀣🀣🀣🀣!!
Hakuna kitu kinaleta faraja na furaha kama Watoto ankoo!
Na umesema kweli watoto ni baraka.

Mayai yana matumizi mazuri kweli kweli

Sema ndo hivyo tena waliopewa akili zipo kinembeni 🀣🀣🀣🀣🀣.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Nimecheka Kwan wenye chunusi mnatuonaje kwani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Trumboooo ankooo itakua ujauzito mie sinaga chunusi kabisa afu nilijua ntazaa wakiume Tena sio kwa michunusi ile Thanks God I wanted a baby Girl and he gave me an Angel kweli kweli!!!!
See you tomorrow anko wanguu urare unono!
Kesho Molla akijaalia!!
 
Trumboooo ankooo itakua ujauzito mie sinaga chunusi kabisa afu nilijua ntazaa wakiume Tena sio kwa michunusi ile Thanks God I wanted a baby Girl and he gave me an Angel kweli kweli!!!!
See you tomorrow anko wanguu urare unono!
Kesho mummy ulale unono na malaika wa ulinzi akulinde umsalimie huyo mdogo wangu wa kike alafu jina hukuniambia ujue πŸ€”

Kesho nayo ni siku pumzika πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜‡πŸ’€
 
Kesho mummy ulale unono na malaika wa ulinzi akulinde umsalimie huyo mdogo wangu wa kike alafu jina hukuniambia ujue πŸ€”

Kesho nayo ni siku pumzika πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜‡πŸ’€
Anaitwa Angel ankoo!!
Santrooo sana baraka tumezipokea!! 😘
 
Anaitwa Angel ankoo!!
Santrooo sana baraka tumezipokea!! 😘
Angel duuh umenikumbusha classmate wangu wa shule ya msingi alikuwa anakaa mbele yangu.

Alikuwa (mrefu, mweupe pee, na zigo)

Classmate wangu wa A level pia alikuwa mweupe pee sema alikuwa PCB jina hilo hilo angel.

Kwa kweli angel wengi niliokutana nao ni weupe.

HONGERA MUMMY πŸ˜ŠπŸ˜‡
 
Wee kuna nini? Ig mbona imechachuka sana hii week kwann?? Hebu fumba macho tuombe kuna ndoa na mahusiano yanaenda kuvunjika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasemaa "ameeeeen" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uduguuuuu ndotoo nyevuuu hiyooo, kimbiaa harakaaa sanaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jiachie kwaraha zakoo cousin unamuogopa nani hasa????[emoji23][emoji23][emoji16]!

Afu mwambie Cute Wife Penseli 4 na cocastic mkuje kunipa sanareee za hapaaa nilikua cousinnn tags ninyingii sijui hata nianze na ipi[emoji23][emoji23][emoji1783]!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mie hata sielewiiiii shouzzz, najionea manjegekaaaa, na vile nimestaafu udaku na ufukunyukuu naona giza km usiku wa balaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Unaogopa nini na vitendea kazi vipo babuu??? Umri bado unakuruhusuuu !! Mjukuu wako tu nina 53 hapa nimebakiza kufyatua wawili watimie watano!! Wanaume hamzeeki kama sie so zaa kwaraha zakoo babuu!
Mwoga wa kusomesha kwa pension πŸ€ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…