Udugu had Ex wangu President T na Mr MU nimewaota leo na niliwahi kuwagonganisha unaambiwa ilikuwa kivumbi!!!!! Hii ndoto sijaielewa kabisaa afu nilikuwa kwenye campaign za kumpitisha MUSO na huyo ex simjui kwenye uhalisia, namuona ndotoni
Afu eti nakaa Kingo na best angu Asnath anatoka na Prof Kinemo dah!! Hii ndoto ishindwe me hayo mazingira mbona siyajui kabisaa
🎵🎵🎵You're sweet like pipi mamaa
I can fight
I can kill someoneFor you
Because am in danger zone (oh no)
This feeling feeling that am feeling
It's too much
I see future, life with you is so brighter
Nakupenda sana, you know that
I'll die for you
Ooh sweet heart, life with you is so sweeter
Nakupenda sana, you know that
Nakupenda sana, you know that
Yeah🎵🎵🎵😍
Hata mie kuna huyo mtu akiniona nataniana na mwanaume tu yeyote anabadili ID anaanza kunitusi nakuniita mie mwanaume sijui mara boda boda mie sina mtu humu na wala siwataki kabisa najiheshimu mno kabisa
Jamani jamani
Naenda pokea meseji nzuri duniani hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Airtel Mjep boss wangu,tajiri wa roho
Mteule katika safari ya Mbinguni,,uzuri tutakaa wote seat zinazofuatana..wakitoka Malaika,seat zinazofata ni zetu.
Jamani jamani
Naenda pokea meseji nzuri duniani hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Airtel Mjep boss wangu,tajiri wa roho
Mteule katika safari ya Mbinguni,,uzuri tutakaa wote seat zinazofuatana..wakitoka Malaika,seat zinazofata ni zetu.