Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila Lenie unanichekezhaga sana dp nzuri hivyo ila uhalisia sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ila Lenie unanichekezhaga sana dp nzuri hivyo ila uhalisia sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
😆😆😆
Ukitaka kujua we ni aibu, kituko, fedhea ni ile siku ilipojitumisha kapicha. Hao unaoita mashangazi walikucheka😂
Maana unavyozalilisha watu unadhani wew ni bora zaidi
Kata hizo ndevu bruh, wanaume wenye ndevu hawana usichana ndani yao, usiwe unatuma vipicha vyako vya aibu humu ndani
 
hapa katoboa boko, nilikuwa namkubali na kumushemi sana ila kwa hilo picha acha ale matunda yake.. kazingua ile mbayaa
 
Ulikipenda ndo unachoikipigia ndevu sio.

Ndevu ndo mbona zinapendwa sana embu ingia google hapo uone stats.

Anyway bora mimi nilituma ndevu ww wakutuma kifua kisicho na chuchu 😆😆😆 zilikatwa au??
😆😆😆
Maliza chuo ukauze simu makumbusho mwaya. Maana ndipo unapendezea na ndevu zako

Hicho kifua kisicho na chuchu ndicho kilimpa stress aunt yako kumuwaza ex wake😂😂😆
Kamuulize vizuri, hakukutumia kapicha kengine tena tuone
 
alafu chochonde chonde asinigusie katoto kangu Depal ...akome kunizeesha mtoto wangu 😅😅😅😅
 
wenye midevu yetu tumekaa pembeni tunamuangalia 😅😅
 
I'm happily married with 2 kids🥰😂

Muda wa kulala huu mdogo wangu, me ndio nakaribia home hapa, nimeenjoy sana leo aki🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…