Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizi movie za humu ndani sitokaa nikakuta na mtu yoyote JF.. tubaki hivi hivi... yaishie humu.. wanaweza kukutumia hata wezi.. watu wana roho mbaya mno humu.. kitendo cha kutengeza maneno huyo mtu ujue ni mchawi wa daraja la juu sana πŸ˜…πŸ˜…
Kabisa mpedwa
Usiku mwema maana hata hii usiku mwema wataenda izushia huko pm kwamba tayari😜😁😁😁
 
Huyo baada ubongo ulisharabika, sasa hivi wadudu wanashambuliwa utumbo.

Hapo alipo nimempa mtihani abane kalio, alafu majibu atayapata
 
Na mm ndo nashangaa kunawatu hata uhakika wa Milo mitatu hawana lakini kuwakalia watu kooni inashangaza kwakweli
Kilichoninyima Raha sijawah mfatilia mtu sijawah mfitinia mtu,sijawah tukana mtu Wala kugombana na mtu maishayangu yenyew magumu πŸ˜€sijui Huwa wanafikiriaga nn
 
She's good , najitahidi sana kumfanya atabasamu kila wakati
 
Kabisa mpedwa
Usiku mwema maana hata hii usiku mwema wataenda izushia huko pm kwamba tayari😜😁😁😁
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… haya cha ukorofi wangu. Mungu awatunze..

Najua director ana karamu na karatasi.. anatunga movie tumeaga ili tukutane sasa
 
wanafikiria wakunyime tu raha, roho zao zifurahi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

si unajua mchawi huwa ni wasumbufu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…