Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama ingekuws sio shida ungepotezea mbona una comment sasa 🀣🀣🀣.

Pole Darlin .kunywa juisi ya rubisi kidogo
Unaumia ukiwa wapi mdogo wangu?
Unaona nimekaa kimya unadhani nakuogopa? No toto, sikuogopi
Maana najua hauko sawa, kihisia, kimwili, kibalojia. Please tafuta msaada, haiwezekani maisha yangu yakawa yanakuumiza hivo, tena mtoto wa kiume.

Tafuta msaada kipenzi. Before situation get out of hands.
 
huu uchawa umepitiliza sasa
Boss unatak maji ya kunywa? Vip ulisema unanitafutia visa ili next mouth twende wote nikusaidie mizigo na kuchagua ngua german umefikia wapi πŸ˜‚

Boss wangu mimi ujui kununa kabisa muone ulivyo mrembo hasa ukicheka jaman na vile Mungu kakupa kicheko mpaka ex anaona wivu Countrywide ongeza tabasamu kwa bibie leo
 
Laiti kama tungekuwa tunajuana maisha yetu nje ya jf nafikili tunge heshimiana.
Hizi movie za humu ndani sitokaa nikakuta na mtu yoyote JF.. tubaki hivi hivi... yaishie humu.. wanaweza kukutumia hata wezi.. watu wana roho mbaya mno humu.. kitendo cha kutengeza maneno huyo mtu ujue ni mchawi wa daraja la juu sana πŸ˜…πŸ˜…
 
Kantri selfika


Afu nguvu za kubishana hapa unazitoa wapi mkeo naumwa?
Kuselfika sio mambo yangu hata kidogo, hata kupiga picha tu soda niweke hapa haiwezekani kabisa kabisa na haitatokea

Alafu kuhusu kuumwa kweli asee, sema nn unataka ili upone.

Soon nalala
 
Tena Huwa wanakufatilia uwe kimya waone mabaya walisema yamekufika umepokeaje ila Tunashukuru tupo hapa na watazid kutuona na km niayao tukose Raha imeshindikana wajaribu kwingine
Mtu mwenye hatred utamjua, hata akiwa chini ya ardhi anajulikana, tena bora awe wa kike.
Akiwa wa kiume ni balaa, Mungu asaidie tu hiki kizazi chetu
 
Wakikuzushia ndio unaongeza ukaribu zaidi waendelee kuteseka, usikae kinyonge🀣🀣
Af ukiangalia hao watu wenyewe sasa, ni wamepauka hawana maisha hadi wanatia huruma.

Hua muda atleast wangefocus kujiboresha kimaisha Ila wamekalia ujinga ambao hauwasaidii kwa maisha yao.
 
Asante toto napokea yote haya, internet never forgets.
Save this date.
Halafu kua na amani maana mie sina ubaya na wewe.
 
Hapo ndio umekaza hadi mwisho? Alafu mtoto wa kike kuto*mbwa si ajabu

Turudi kwako, wewe unaona ni sawa kufanywa?
Uliumbwa kufanya, kwa nn unakubali kufanywa?
 
Hizi movie za humu ndani sitokaa nikakuta na mtu yoyote JF.. tubaki hivi hivi... yaishie humu.. wanaweza kukutumia hata wezi.. watu wana roho mbaya mno humu.. kitendo cha kutengeza maneno huyo mtu ujue ni mchawi wa daraja la juu sana πŸ˜…πŸ˜…
Kabisa mpedwa
Usiku mwema maana hata hii usiku mwema wataenda izushia huko pm kwamba tayari😜😁😁😁
 
Huyo baada ubongo ulisharabika, sasa hivi wadudu wanashambuliwa utumbo.

Hapo alipo nimempa mtihani abane kalio, alafu majibu atayapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…