Umechelewa kufika afu unawahi kulala ili iweje?? Hebu selfika wakuone ulivyo wa moto toto la kingoni
AiseeSorry, naomba unitafutie basha
😅😅😅 hata weyeee cha ukorofi... aiseeee.. wamezidi jamani.. kuna watu nikiona wamewajumuisha na shit za humu nachoka kabisaaa .. Muandaa filami ni chiboko walahi hana masiraha na kazi yakeKuna mmoja alipewa file langu huko pm na wenzie ikabidi anitafute nilichoka baada ya kuniambia yanayoendelea 🙆🏾♀️😁😁😁
Nitakua wa kwanza kulog out. Wengine kwenye real life ni wapole sana, mitandao mingine IG na twitter tunatumia real names. huku ndio pekee unaweza andika venye unataka, ndio pa kutoa stress zote
Woiiiiii, humu ndani unachekea kila mtu ukitoka jf unayaacha humu humuKwakweli ni kuwapotozea japo kibinadamu ilinikwaza Yani Ile siku hata kazini sikuweza kwenda ila nimegundua hapa selfika kunawatu Wana matatizo ya akili sio wazima
Stress za majukumu zote anazibeba penseli, Ni achague nimpime hiyo deep hole au nimuache aendelee kuoza taratibu
Malisaaaa yeyeeee
Ni kukosa akili wengine tunawaona km kakazetu humu tunaongea nao tunacheka nao kumbe huko pembeni ni huzuni wanavotuchafua na sie vimbelembele ndo tunakula za uso haswa 😂😂😂😂 kweli Dunia ya Mungu vitu vya mzungu 😂😂😂Kwa kifupi Dunia haielewekMe naonaga ni watu ambao wamejikatia tamaa na maisha, sababu kwa hali ya saivi watu busy unapata wapi muda wa kuhangaika na fake ID ya mtu humjui
Kama sio utindio wa ubongo ni nini?
Huna baya ishiii sana na vile ulivyo na sura ya kitoto uzeeki kila siku unakuwa mpya kabisa boss mmoja pesa sio shida kabisa tajiri umepoaaa umepoaaa umepoaaa tena mtoto ukicheka kama ucheki ukinuna bado unaita unasema njoo mlMungu akupe nini wewe unywele uwe kma wahindi hapa ila sio kama wahindi wa kariakooo
Hakuna kitu utafanya, hapo ulipo nawaza tumbo likikubana na upo mbali choo unafanyaje? Sphincters zote legelegeWala sina hamu na ww maana huko ni kujishusha hadhi.
HAPA NAFANYA MALIPIZI KIDOGO..
Nikimaliza ntakuambia malipo ni hapa hapa
Eeeh dawa iingie vizuri.
😅😅😅😅 ulipigwa na kitu kizitoooo eeeh...Kwakweli ni kuwapotozea japo kibinadamu ilinikwaza Yani Ile siku hata kazini sikuweza kwenda ila nimegundua hapa selfika kunawatu Wana matatizo ya akili sio wazima
Kupata mwili wa kike ni gharama, lakini wadau tupo tayari kukuchangiaKama ingekuws sio shida ungepotezea mbona una comment sasa.
Pole Darlin .kunywa juisi ya rubisi kidogo
Laiti kama tungekuwa tunajuana maisha yetu nje ya jf nafikili tunge heshimiana.😅😅😅 hata weyeee cha ukorofi... aiseeee.. wamezidi jamani.. kuna watu nikiona wamewajumuisha na shit za humu nachoka kabisaaa .. Muandaa filami ni chiboko walahi hana masiraha na kazi yake
🤣🤣🤣🤣 Waliontuma??Waliokutuma rudi kwao mkajipange upya
Ain’t your level hata kidogo.
Won’t be replying anymore
Ila kaa ujipige kifuani useme ‘mimi ni mjinga’
Kisha uanze ku act like a man, with balls lakini maana I’m not sure if you have ‘em
Wee balls hana, nipo tayari kubet pesa yoyote. Ungesema kuhusu kama sphincters zimekaza au zimelegeaWaliokutuma rudi kwao mkajipange upya
Ain’t your level hata kidogo.
Won’t be replying anymore
Ila kaa ujipige kifuani useme ‘mimi ni mjinga’
Kisha uanze ku act like a man, with balls lakini maana I’m not sure if you have ‘em
Tena Huwa wanakufatilia uwe kimya waone mabaya walisema yamekufika umepokeaje ila Tunashukuru tupo hapa na watazid kutuona na km niayao tukose Raha imeshindikana wajaribu kwingineWoiiiiii, humu ndani unachekea kila mtu ukitoka jf unayaacha humu humu
Kuna watu wameumbwa kufanya watu wakose raha tu, so unawapotezea tu
Bff Asiye na mba mba mbaa 🤣🤣Unajua navyokupenda mwenye bff wake😘
Kuna watu hawako online ila kwa kusambaziana uwongo pm sio poa😬😁😁Kwakweli ni kuwapotozea japo kibinadamu ilinikwaza Yani Ile siku hata kazini sikuweza kwenda ila nimegundua hapa selfika kunawatu Wana matatizo ya akili sio wazima
Kupata mwili wa kike ni gharama, lakini nautaka 😭😭😭
uduguuu selfika hainistuii tenaa, wee ndo unaona mpyaaa, hii ishaishiwaa kabisaaa, at least na drama km hizo ndo zinaufufua uzi,
ya kawaida sanaaa.