Selfika na JF: Snap it. Show it

Wala sina hamu na ww maana huko ni kujishusha hadhi.

HAPA NAFANYA MALIPIZI KIDOGO. ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ.

Nikimaliza ntakuambia malipo ni hapa hapa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ



Eeeh dawa iingie vizuri.
Waliokutuma rudi kwao mkajipange upya
Ainโ€™t your level hata kidogo.
Wonโ€™t be replying anymore
Ila kaa ujipige kifuani useme โ€˜mimi ni mjingaโ€™
Kisha uanze ku act like a man, with balls lakini maana Iโ€™m not sure if you have โ€˜em
 
Umechelewa kufika afu unawahi kulala ili iweje?? Hebu selfika wakuone ulivyo wa moto toto la kingoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu selfika hainistuii tenaa, wee ndo unaona mpyaaa, hii ishaishiwaa kabisaaa, at least na drama km hizo ndo zinaufufua uzi,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya kawaida sanaaa.
 
Kuna mmoja alipewa file langu huko pm na wenzie ikabidi anitafute nilichoka baada ya kuniambia yanayoendelea ๐Ÿ™†๐Ÿพโ€โ™€๏ธ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… hata weyeee cha ukorofi... aiseeee.. wamezidi jamani.. kuna watu nikiona wamewajumuisha na shit za humu nachoka kabisaaa .. Muandaa filami ni chiboko walahi hana masiraha na kazi yake
 
Nitakua wa kwanza kulog out. Wengine kwenye real life ni wapole sana, mitandao mingine IG na twitter tunatumia real names. huku ndio pekee unaweza andika venye unataka, ndio pa kutoa stress zote

Kantri selfika [emoji12][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]

Afu nguvu za kubishana hapa unazitoa wapi mkeo naumwa?
 
Kwakweli ni kuwapotozea japo kibinadamu ilinikwaza Yani Ile siku hata kazini sikuweza kwenda ila nimegundua hapa selfika kunawatu Wana matatizo ya akili sio wazima
Woiiiiii, humu ndani unachekea kila mtu ukitoka jf unayaacha humu humu
Kuna watu wameumbwa kufanya watu wakose raha tu, so unawapotezea tu
 
Ni
Me naonaga ni watu ambao wamejikatia tamaa na maisha, sababu kwa hali ya saivi watu busy unapata wapi muda wa kuhangaika na fake ID ya mtu humjui

Kama sio utindio wa ubongo ni nini?
Ni kukosa akili wengine tunawaona km kakazetu humu tunaongea nao tunacheka nao kumbe huko pembeni ni huzuni wanavotuchafua na sie vimbelembele ndo tunakula za uso haswa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kweli Dunia ya Mungu vitu vya mzungu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Kwa kifupi Dunia haielewek
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu uchawa umepitiliza sasa
 
Hakuna kitu utafanya, hapo ulipo nawaza tumbo likikubana na upo mbali choo unafanyaje? Sphincters zote legelege
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Waliontuma??

Au ni waliokutomba ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Darlin mtoto mdogo sana ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Sema sio mbaya mi kazi yangu ikiisga hutoniona tena.

Tulia nimalizie kidogo ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž.

Afu nimekumbuka balls?? You talking about balls?? Umenyonyeshwa ngapi.

Mpaka umeona ufungue pm kidume chochote kije kukupitia ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.

Duuh sawa mi nakusubiria 2033 ukiwa umetumika mpaka na bodaboda. Uje uweke bandiko la ndoa na crew yako ya kichoko.

TIME WILL TELL ugly black bitch
 
Wee balls hana, nipo tayari kubet pesa yoyote. Ungesema kuhusu kama sphincters zimekaza au zimelegea
 
Woiiiiii, humu ndani unachekea kila mtu ukitoka jf unayaacha humu humu
Kuna watu wameumbwa kufanya watu wakose raha tu, so unawapotezea tu
Tena Huwa wanakufatilia uwe kimya waone mabaya walisema yamekufika umepokeaje ila Tunashukuru tupo hapa na watazid kutuona na km niayao tukose Raha imeshindikana wajaribu kwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ