National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
🫣🫣🫣🫣Niko single Mwaka wa 20 huu, beside uzinzi ni Jambo la kupuuza.
👉Hupoteza muda
👉Pesa,
👉 Malengo
👉 Heshima- mfano mzee wa miaka 70 akifumaniwa na binti wa 20
🫣🫣🫣🫣Niko single Mwaka wa 20 huu, beside uzinzi ni Jambo la kupuuza.
👉Hupoteza muda
👉Pesa,
👉 Malengo
👉 Heshima- mfano mzee wa miaka 70 akifumaniwa na binti wa 20
Wee utapigwa hela za bure huko😂Mmbea we Lenie 🤣🤣
Unacheka nn navyomtafuta Lizzy?
Nimepata guide huko IG. Mambo ni mazuri 😂😂😂
All cost to be paid in USD Dollar 😂😂
Asante dearYah
Karibu
😅😅 access ya wanawake wazuri mbona unayo ila hutaki itumia tuNdo maana nipo chaputa kwanza hadi niwe na access na wanawake wazuri
Anyway UZINZI sio sifa tena kwangu. 😎
Kumbe yeye ndio anajipendekeza kwakoKitu sikipendi ni uongo na kuzushiana mie simtaki elewa hivyoo
That me for real🤒🤒🫣🫣🫣🫣
Ngoja nikuPe ushahidi😂😃Kumbe yeye ndio anajipendekeza kwako
Amesema hakutakiii🤣🤣Ngoja nikuPe ushahidi😂😃
😅😅😅 watu wabayaaa sana humu aunt.. huenda wamempiga marufuku ku log in jf.. au kaambiwa abadilishe na ID kabisaa.. jambo lakini shangazi mremboBora Ankol umenitetea, asante sana hao watu ndiyo watuambie, wamempeleka wapi Dahan
Lenie ona Sasa hii😂😃😂, nalazimishwaa kumpenda😃🤒🤒Na leo utasema kweli yote kama unanitaka sema
hata mie kitambo sana nimeacha uzarai.. nimetulia tu 😅😅That me for real🤒🤒
Kasake chaka la kujificha 🤣🤣Wee utapigwa hela za bure huko😂
Nenda mkazurure wenyewe mtaenjoy full kujiachia
hayo maandalizi hee tutajuta hiyo siku ikifika🤣
Namaanisha hawa 👇👇👇👇👇👇😅😅 access ya wanawake wazuri mbona unayo ila hutaki itumia tu
mie ninae kutaka kwa dhati hunitaki . unabaki kung'ang'ana na waume za watu ... sie single hutu takiNa leo utasema kweli yote kama unanitaka sema
😅😅😅 pamiwa hata naguta utapata access ya kutibiwa nao.. hapo hapo tia huruma.. omba nambaaa... zamani nilikuwa na haya mawazo.. ila wapi.. nikajikuta na hela na chuma kali.. ghetto kali ... ila puuuuu ... kuwa na vyombo ni uamuzi tu.. ila kuwa na mdada mtoa huduma mkali sanaaa ndio inahitaji uwe na maweNamaanisha hawa 👇👇👇👇👇👇
Bado sana
View attachment 2712271View attachment 2712272View attachment 2712273
Bro Kama una watoto wahadithie hii chai😂😃😂😂hata mie kitambo sana nimeacha uzarai.. nimetulia tu 😅😅
vacation umeisha buki hotel 🙂🙂Kasake chaka la kujificha 🤣🤣
Wenyewe tutapotea 😂😂🏃♀️
af nikijazia na Lizzy, naweza pata new ideas.
Nakutumia wasap niliyokutana nayo IG 😍
$240 kitu gani kwa vacay 🏃♀️🏃♀️
Pesa karatasiii🎶🎶Kasake chaka la kujificha 🤣🤣
Wenyewe tutapotea 😂😂🏃♀️
af nikijazia na Lizzy, naweza pata new ideas.
Nakutumia wasap niliyokutana nayo IG 😍
$240 kitu gani kwa vacay 🏃♀️🏃♀️