Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Casting with Surface , Home Chillin.
Toa uyo paka mzeeCasting with Surface , Home Chillin.View attachment 2711098

Kuna manzi alinipa Paka mweusi kama huyo, kalikuwa kadogo mpaka kamekua, mi paka kukaa hivyo kitandani hapana kwa kweli..😁Casting with Surface , Home Chillin.View attachment 2711098
Mimi hakuna mnyama namuogopa kama paka nyumbani kwako kukiwa na paka unioni natia mguuKuna manzi alinipa Paka mweusi kama huyo, kalikuwa kadogo mpaka kamekua, mi paka kukaa hivyo kitandani hapana kwa kweli..😁
Bado shishaSafi,
Naona uko na neno la mungu hapo
Ahahaha usome bibleShisha ni dhambi mzee
Peps ipewe mau yake
View attachment 2711127
Hahahah nilivifua jana nikaingiza nguo na viatu sijapanga chochoteSoda, kiatu na bible daaah kijana unaishi stoo?
Hahahah nilivifua jana nikaingiza nguo na viatu sijapanga chochote
Mimi mvivu sanaDah sawa kijana
🫣🫣🫣🫣🫣😬😬😬😬😬 tutaona tuuu 😏😏😏
😍😍 dah! sawa banaaaa.. utarudi kesho lakini