Mara nyingi wanaume wenye upeo mkubwa wa kufikiri, ukimtajia pesa, ata kama anazo; anatafsiri kuwa anauziwa, ikimaanisha hisia zinaletwa na pesa na si upendo kutoka ndani, na hii imepelekea wengi kuwa singo maza.
Mara nyingi wanaume wenye upeo mkubwa wa kufikiri, ukimtajia pesa, ata kama anazo; anatafsiri kuwa anauziwa, ikimaanisha hisia zinaletwa na pesa na si upendo kutoka ndani, na hii imepelekea wengi kuwa singo maza.