Selfika na JF: Snap it. Show it

Duuuh maana ya pm ni nn kwani??
Sio Private Message πŸ€”πŸ€”πŸ€”.

Anyway mwambie huyo mchumba wako na crew yake walilianzisha wenyewe na mimi nitalimaliza ama zake ama zangu.

😎😎😎😎😎.
 
πŸ˜„πŸ˜„ em njoo tuvute weed, kama tumeishiwa vya kufanya
 
Mikono ya mkandaji hapana kwa kweliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hao wenye mikono ya hivyo ndio wanasugua kiharage km anataka kuwasha moto, afu wabishi hawapendi kuambiwa ukweli
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Wee mjinga sana
 
Duuuh maana ya pm ni nn kwani??
Sio Private Message πŸ€”πŸ€”πŸ€”.

Anyway mwambie huyo mchumba wako na crew yake walilianzisha wenyewe na mimi nitalimaliza ama zake ama zangu.

😎😎😎😎😎.
wewe ni mwanaume bro.. usitumie nguvu nyingi kugombana nao na hawa mabinti banaaa.. wisdom huwa tunakaa kimya hata kama tumepishana na hawa watoto.. Potezea nakuambia kama mwanaume mwenzako.. kama muelewa utaelewa na sio lazima uache unacho endelea kufanya, ila kila unapo haribu mie zinanifikia .. na ninakuambia kishkaji kindugu kiume na kipendwaa.. na nimemaliza.. ✌️✌️✌️✌️...
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ™πŸ’ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…