Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,302
Miguu yotreee trenaaa mi hio hapana Dr 🙌!!Pia usitumie miguu yote🤣🤣 tumia mmoja tu wa uhakika uwanjani, sio beki wewe afu kipa wewe😃😃, wooooooi
Miguu yotreee trenaaa mi hio hapana Dr 🙌!!Pia usitumie miguu yote🤣🤣 tumia mmoja tu wa uhakika uwanjani, sio beki wewe afu kipa wewe😃😃, wooooooi
Gono ni myths tu





Unatenganisha shisha na filter 😂😂ukiacha unafki utakua mtu poa sana😂
Nasikia wengine huwa wanatumia azuma eti sijui ni kweli!!🤣🤣🤣🤣Dr wagonjwa wa gono wote piga sindano ya ng’ombe![]()
Sina taarifa 😀Hujui Kwamba Mshamba hachekwi🤣🤣🤣
Azuma kwa gono iliyovuta bangi ina resistNasikia wengine huwa wanatumia azuma eti sijui ni kweli!!🤣🤣🤣🤣
Nasikia wengine huwa wanatumia azuma eti sijui ni kweli!!![]()




Koh Koh Koh 🌬️🌬️ yaw yawMan on a mission
I see no competition
And i mind my business
GOD is my witness
They dont see my vision
Omo joko lile woyoyo
One in a million.
Yawa yawa yawa
Anko unajua huo uchebe ukiupunguza ukaushevu vizuri Alooooooohh utanougaaa balaaaa 🤩🤩!!Man on a mission
I see no competition
And i mind my business
GOD is my witness
They dont see my vision
Omo joko lile woyoyo
One in a million.
Yawa yawa yawa View attachment 2709428🤠!
Gono iliovuta bangii tena Dr hapo umeniacha solemba Sijaelewa lol😁😁😂!Azuma kwa gono iliyovuta bangi ina resist
Anko wako ana kila kitu.Anko unajua huo uchebe ukiupunguza ukaushevu vizuri Alooooooohh utanougaaa balaaaa 🤩🤩!!
Santo sana kuibless Jioni yangu ankoo ubarikiwe sana!!
Kumbe una kifua 😁🤠
Huku wapo naanza kuwavuta vuta mkuu.unakosaje pisi sasa
🤣🤣🤣🤣! Ndio vitu gani hivoo powercef msamiati mpya tena lol!!Kwa gono lao lilivyo kali Azuma haisaidii, hao wapigwe powercef shenzy
Itaenda kutibu na miwasho ya kudanga hovyo bila tahadhali
Kwakweliii itajulikana itafahamika 🤣😄😂🍻Ukimaliza hapo ni 🔥🔥🤸♂️😋🛏️👅
Mie mwenzio kilaza uduguuu Unamaanisaaa???? Nimeuiza kwa sauti ya kibogoyoo😁🤠🤠Maneno tuache tunaomba mselfike full body hatutaki visigino na milonjo
Hata km una bichwa km tunda ya ubuyu we tupia, hata km pimbi wewe lete tufurahi wajameni life is too short!! Tupeni burudani
Auweeeeehhh kumbe umebarikiwa ivooo ankoo hongeraa sanaaaa😁Anko wako ana kila kitu.
1.Mchapakazi
2.kifua
3.akili.
4.urefu
5.uchebe
6.mshipa.
7.mpole pia 😆😆😆
Sema huu uchebe unanifanya nionekane mtu mzima ujue nikinyoa nitaonekana kama mtoto wa form 5.
Na majirani wamenizoea hivi