Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Man on a mission
I see no competition
And i mind my business
GOD is my witness
They dont see my vision
Omo joko lile woyoyo
One in a million.

Yawa yawa yawa View attachment 2709428🤠!
Anko unajua huo uchebe ukiupunguza ukaushevu vizuri Alooooooohh utanougaaa balaaaa 🤩🤩!!
Santo sana kuibless Jioni yangu ankoo ubarikiwe sana!!
Kumbe una kifua 😁🤠
 
Anko unajua huo uchebe ukiupunguza ukaushevu vizuri Alooooooohh utanougaaa balaaaa 🤩🤩!!
Santo sana kuibless Jioni yangu ankoo ubarikiwe sana!!
Kumbe una kifua 😁🤠
Anko wako ana kila kitu.
1.Mchapakazi
2.kifua
3.akili.
4.urefu
5.uchebe
6.mshipa.
7.mpole pia 😆😆😆

Sema huu uchebe unanifanya nionekane mtu mzima ujue nikinyoa nitaonekana kama mtoto wa form 5.

Na majirani wamenizoea hivi
 
Maneno tuache tunaomba mselfike full body hatutaki visigino na milonjo

Hata km una bichwa km tunda ya ubuyu we tupia, hata km pimbi wewe lete tufurahi wajameni life is too short!! Tupeni burudani
 
Kwa gono lao lilivyo kali Azuma haisaidii, hao wapigwe powercef shenzy

Itaenda kutibu na miwasho ya kudanga hovyo bila tahadhali
🤣🤣🤣🤣! Ndio vitu gani hivoo powercef msamiati mpya tena lol!!

Mie mnipe ya kukausha nyege hii menopause iishe vizuri uduguuu😁🤠!
 
Maneno tuache tunaomba mselfike full body hatutaki visigino na milonjo

Hata km una bichwa km tunda ya ubuyu we tupia, hata km pimbi wewe lete tufurahi wajameni life is too short!! Tupeni burudani
Mie mwenzio kilaza uduguuu Unamaanisaaa???? Nimeuiza kwa sauti ya kibogoyoo😁🤠🤠
 
Anko wako ana kila kitu.
1.Mchapakazi
2.kifua
3.akili.
4.urefu
5.uchebe
6.mshipa.
7.mpole pia 😆😆😆

Sema huu uchebe unanifanya nionekane mtu mzima ujue nikinyoa nitaonekana kama mtoto wa form 5.

Na majirani wamenizoea hivi
Auweeeeehhh kumbe umebarikiwa ivooo ankoo hongeraa sanaaaa😁
 
Back
Top Bottom