Selfika na JF: Snap it. Show it

changudoa ni tafsiri ya mtu, unaweza muona changudoa unakuta sio changudoa ila kwa tafsiri yako utaona changudoa.. kwenye maisha yangu siwezi muita mwanamke changudoa au malaya wote nawaheshimu
Exactly na kwangu mimi naona ni vyema

UMHESHIMU ANAYEKUHESHIMU. sio asiyekuheshimu si unashuka naye jumla jumla tu.

Simpo. Oooh nimesahau we unasema huwezi muita changudoa sawa

Je mwanamke anayejiuza anaitwaje??

Embu nipe jina lake au ni mfanya biashara sio.
 
anae jiuza anaitwa mama, mwanamke, mrembo.. kwa tafsiri ya maisha yangu.. maana tafsiri ya maisha hazifanani
 
Mh binti maua sio kweliπŸ˜‚πŸ˜πŸ€£, sija wahi hata kuwa na Dem πŸ˜‚πŸ˜
Sema tu ukweli baby shower ya mkeo hujaifanyia kwenu nikule kwa yule manzi cha ajabu alikupiga hela nzuri tu halafu ukadai nindugu yako kuja outing akaondoka gafla kumbe nijamaa ake aliwaona halafu ikawaje ukarudishiwa hela zako zote hadi chenji
 
Hayo mautrundu uduguuu alooooo
!! Hakiii mwamba anafauduuuuuuu

Anafaidi kweli hataki migume gume ilioshindikana na mtume, imekomaa sura mpk visigino

Weusi km usiku wa balaa, wakilia km tank la lita 3000 linamwaga maji


Wamejaa nongo mwanzo wa kichwa mpk unyayo, bwana nimemkamatia nitawapasia nikimchoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…