Kumbuka yule dada wa jirani mlikuwa mnamwita tunda ukamwomba gemu ukapewa mkaanza mahusiano right?? Huku ukadai unataka kubadili mboga yule demu uliyempata humu akawa anakuja jioni halafu baadae tunda akajua ukala kichapo huyu dada wa jf akakasirika ndio ukatemwa mazima . Kumbuka sakata hilo tena ulimpata kigafla tu alikufuata inbox
Unajua hili gazeti ni lasiku nyingi ndio maana humjui huyu mtu umeamua kumweka back list , ila huyu dada alikufaa sana nipo serious ndio maana wanakuita malaya