Eti msikie hizo kimzimu eti kinanijia juu eti nikome sipendi mambo yanayoendelea hapa , nikuulize kama kaibiwa demu sinikwamba hakajiwezi sasa nani anataka masazo kwanza kanalishwa na shemeji, pili hakajielewi , tatu anadate na watu mitandaoni jamani tumfungulie jalada la wagonjwa hebu watu wajue basi type zangu.?? Hana hata gari 1 sasa unampeleka wapi?? Sura mbay vile. Mie nataka vifaa vichwa , hizo meli sio vitreni vya tazara viinavyozima aigh