Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Unitoe mie ?? Mie saivi nipo mbali kinyamaachana nae, mbuzi wa kafara wengi tu.. tuonane basi kati kati ya mwezi
Unitoe mie ?? Mie saivi nipo mbali kinyamaachana nae, mbuzi wa kafara wengi tu.. tuonane basi kati kati ya mwezi
Oya Kuna mtu Ali mtaja huyu dogo🤔, Sasa Mbona ana niletea upuuzi.😅😅😅
Wacha nipambanie jimbo lile . nauliza tena ni wa nani.. tusije pasuana videvu buree
Aisee jf sihami🤣🤣🤣aisee yule umemfia kabisa kila siku lazima umkumbuke😅
Intelligent businessman mpotezee... convo ilikuwa yangu na wewe... na ilihusu Dahan na Fifi Moto ... nimeshtuka labda kama kuna misala anataka kuiangusha isiyo na tijaOya Kuna mtu Ali mtaja huyu dogo🤔, Sasa Mbona ana niletea upuuzi.
👉Kama ana taka kuni diss, asi zunguka nyuma ya mbuyu bhana🤒
🤣🤣🤣🤣nataka nipindue meza . chombo ya nani .. nisije pasuana na mtu humu..
😅😅😅 kwani hamjui nyie.. si alikuwa anatumia picha hapaKumbe🤣🤣🤣
ebu pacha nichane live . .. 😅😅😅🤣🤣🤣🤣
nakutoaje wakati urithi wote nimeandika majina yakoUnitoe mie ?? Mie saivi nipo mbali kinyama
Mimi sielewi🤣🤣🤣ebu pacha nichane live . .. 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣😅😅😅 kwani hamjui nyie.. si alikuwa anatumia picha hapa
huelewi nini pacha ... mie ndio natakiwa nisielewe banaa 😅😅Mimi sielewi🤣🤣🤣
kama ndo hivyo na mimi nachukua spea, fifi moto😋Spea sio mbaya na upo chuo ukimaliza chuo namtema
IAM not your enemy,Haina nikaushie kabisa
mnanichanganya ujue 😅😅😅kama ndo hivyo na mimi nachukua spea, fifi moto😋
Mi nashangaa😂🤣😁, haya tuli ishia wapi😂😁Intelligent businessman mpotezee... convo ilikuwa yangu na wewe... na ilihusu Dahan na Fifi Moto ... nimeshtuka labda kama kuna misala anataka kuiangusha isiyo na tija
Mie mwenyewe namtaka Dahan .. sitaki sikia la nani wala nani kila mtu apambanie kombe kivyake... mwenye mganga mkali atachukua kombe 😅😅😅IAM not your enemy,
👉Pole Sana jf doesn't play fair, mshamba_hachekwi na National Anthem Hawa kukuambia take it easy🤔.
👉badala ya kuanza kuni lalamikia Mimi, chagua kuendelea au ku log in au kubadili I'd.
👉maana Kila mbuyu mkubwa una Kila jini, sio uungwana hauja tajwa una Anza kunipa malalamiko mimi
tumeishia .. mie kutangaza kupambanai jimbo la mkoa wa DahanMi nashangaa😂🤣😁, haya tuli ishia wapi😂😁
Chaikama ndo hivyo na mimi nachukua spea, fifi moto😋
Cc mshamba_hachekwi wana beba manzi yako😂🤣😁Mie mwenyewe namtaka Dahan .. sitaki sikia la nani wala nani kila mtu apambanie kombe kivyake... mwenye mganga mkali atachukua kombe 😅😅😅
maneno maneo ya Jf huwa nayapuuza... huwa nashangaa mbember kumchukia member au kuwa na chuki na mtu