YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
Watu wazima hututaki,we deal na hao vijana wangu, wakutoe jero jero za vocha,maana hata 2k washasema inauma,[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi hapana kwa kweli siwawez, biashara ya kuanza kunukia kimbuzi mbuzi sitaki!!!!! Unapoa km birthday ya mjane