YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Sawa haizidi lkn mbili,km hawezi kununua hata kwa bei hiyo, piga chini huyo ,atakusumbua tu
Sio mie ni Ms Eyes kataka perfume mi nimemsaidia kumchagulia ya cheap price ili bro ajimudu kununua

Sawa haizidi lkn mbili,km hawezi kununua hata kwa bei hiyo, piga chini huyo ,atakusumbua tu

Kuna ambae hana family? Mbn uteyezi wa kitoto huu



mwambie huyo sio kupenda warembo tu kumbe pesa hanaKabisa, eti family ,sie kwani hatuna hizo family? Mmbane akununulie ,km mwisho wa mwezi ndio huuAnunue aache visingizio![]()
Yaani hiyo ni cheap na bado mtu anaomba poo?Sio mie ni Ms Eyes kataka perfume mi nimemsaidia kumchagulia ya cheap price ili bro ajimudu kununua![]()
Msiwape invoice kubwa aiseehatareeee
HahahahahahahaMimi najinunulia mwenyewe, hiyo amnunulie Ms eyes aonyeshe uwanaume sio kumiliki pomboo tyuuu
My mom and family deserve it better than any one else, for now.Mnunulie manukato,onesha mbavu hapo $70 hiyo
Family first, nakuelewaMy mom and family deserve it better than any one else, for now.
Avoiding distraction 🤣🤒🤣😂Mimi najinunulia mwenyewe, hiyo amnunulie Ms eyes aonyeshe uwanaume sio kumiliki pomboo tyuuu
That's how the game goes, this days ni kuwa alpha male.Family first, nakuelewa
180k ni hela inayouma😂
Na Utakuwa mwehu wa mwisho, ukitanya hivyo.180k ni hela inayouma😂
kama ipo unamnunulia mchumbaNa Utakuwa mwehu wa mwisho, ukitanya hivyo.
👉Hata 2k Ina Uma Sana😂🤣🤒
Wapambe Kama nyinyi ndo mlimfanya Hellen Clinton akose uraisi, Huku kachoma mtonyo vibaya🤣😂🤒kama ipo unamnunulia mchumba
kama ipo
Millennium impossible tense😂🤣🤒kama ipo unamnunulia mchumba
kama ipo
HahahahahhaNa Utakuwa mwehu wa mwisho, ukitanya hivyo.
👉Hata 2k Ina Uma Sana😂🤣🤒
ukipata mchumba utaelewa😅Wapambe Kama nyinyi ndo mlimfanya Hellen Clinton akose uraisi, Huku kachoma mtonyo vibaya🤣😂🤒
Huezi uka fanya tu, eti kisa Ume ambiwa.Hahahahahha