Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
pancha zimekua nyingi
![]()
Hazard is injured for the third time![]()
Pale unapojaribu kubinya binya namba hadi uotee ya Cadey ndio hapa sasa
Shabaaaashi...nifuta nia, nimerudisha mpira kwapan....soshomedia shenz kabisa
Hazard is injured for the third time![]()
Kwahiyo mwana hapo juu ni Me si ndiyo ???
Mefurahi mimi jamani!!Lol usinicheke bana. Duh!
Abeee. Ndo nimetoka kwenye huduma mpendwaBasi fresh. Ngoja tuone kama we ni mtu wa ahadi zako. Heaven Sent bado nakusubiri na wenzako.
Kwa nini kijana afungwe eti, uzembe ulikuwa wao wawili! Kumfunga kijana ni kumfanya mtoto atakayezaliwa akose malezi na upendo wa baba na mama!!Atoto mi naomba nikuulize bt samahan
Ikiwezekana hata Sakayo akipita hapa na yeye tu share nae au Mtu yeyote
Atoto ikitokea bint wako kapewa uchauzito na boyfriend wake utashadadia kufungwa kwa mshikaji au utaitaj myamalize kifamilia?

Wivu tuu unamsumbua ,bahati jf live hakuna ,hii id ipo toka 2015 na ni id yangu nina itumia vyovyote nitakavyo,kuomba ushauri,kumuombea mtu ushauri,kutangaza biashara,kuuliza chochote nitakacho,kumpa mtu mwingine atumie,hii id kwenye avatar nimekuwa nikiweka picha zangu mara kibao tuu,wadau wa uzi wa vyakula huwa wanaona kwasababu huwa post sana kule ,kila mtu na maisha yake jamani sio kila mtu ako broke Hazard CFC Watu8 Danpol
Wivu tuu unamsumbua ,bahati jf live hakuna ,hii id ipo toka 2015 na ni id yangu nina itumia vyovyote nitakavyo,kuomba ushauri,kumuombea mtu ushauri,kutangaza biashara,kuuliza chochote nitakacho,kumpa mtu mwingine atumie,hii id kwenye avatar nimekuwa nikiweka picha zangu mara kibao tuu,wadau wa uzi wa vyakula huwa wanaona kwasababu huwa post sana kule ,kila mtu na maisha yake jamani sio kila mtu ako broke Hazard CFC Watu8 Danpol
Abeee. Ndo nimetoka kwenye huduma mpendwa
Hahahah na akipona majeraha anasubiri kutumikia red card
Wivu tuu unamsumbua ,bahati jf live hakuna ,hii id ipo toka 2015 na ni id yangu nina itumia vyovyote nitakavyo,kuomba ushauri,kumuombea mtu ushauri,kutangaza biashara,kuuliza chochote nitakacho,kumpa mtu mwingine atumie,hii id kwenye avatar nimekuwa nikiweka picha zangu mara kibao tuu,wadau wa uzi wa vyakula huwa wanaona kwasababu huwa post sana kule ,kila mtu na maisha yake jamani sio kila mtu ako broke Hazard CFC Watu8 Danpol



Let me enjoy this thread in peace oh ndo kwanza nimeuona leo 👋Usipanick mrembo tunachangamsha genge tu hapa![]()
Let me enjoy this thread in peace oh ndo kwanza nimeuona leo 👋 View attachment 1276602haya hiyo apo sijavaa vigodoro uridhike,watu hamtuachi tukavaa vigodoro vyetu kwa raha