Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,334
- 176,127
Nanjilinji.Looh location wapii hii
Nanjilinji.Looh location wapii hii
Hahaaaaaaaa acha utani basi.. ngoja tu nimuache Vinci.. nikiwa napata jina zuri nitakua nabadir then narudisha vinciYaunganishe yawe jina moja halafu aidii ndefuuuu...like Da'VinciDenver blah blah blah...uwe kama yule jamaa anajiita sijui miminimkulimaakachekasanaaa
cc Sakayo
Nanjilinji hivi hua iko wapiiii??Nanjilinji.
Tanzania.Nanjilinji hivi hua iko wapiiii??
Utakuwa umepewa serial number
I mean mkoa upi au wilaya.. nasikia ad wasanii wa singeli wanapaimbaTanzania.





tayari niko mbinguni ndio narejea duniani... Utaweka tu muda sio mrefu...
Naliendele kabla hujafika Nangulukuru mpakani na Nandete mbele kidogo ya Namhula jirani kabisa na NamsakataNanjilinji hivi hua iko wapiiii??



Mpaka hapo ushaniuza.. sielewiNaliendele kabla hujafika Nagulukuru mpakani na Nandete mbele kidogo ya Namhula![]()
Picha gani.?Weka picha
NimewekaNa leo uweke picha
Hahahah nilikuwa nakuchemsha...Mpaka hapo ushaniuza.. sielewi
Najishangaa labda kwasababu siingi chit chat kabisa,na ninavyopenda picha sasaDah ulikuwa wapi?
Kama hiyo umeweka...hakikisha kila siku unatupiamo moja...nitakuwa nakaguaPicha gani.?
Umependeza
Umefanana na mke wa msuhbate
Nje ya topic: hivi mkiwa na kucha ndefu huwa mnasafisha je kule kwa bibi??
Angalie zile clip za sanch... Utaona moja anaonyesha mfanoUmependeza
Umefanana na mke wa msuhbate
Nje ya topic: hivi mkiwa na kucha ndefu huwa mnasafisha je kule kwa bibi??