Selfika na JF: Snap it. Show it

Emoji kubwaa sana hio babuu ipunguze utubles wajukuu zakoo trena!
Helloowww Granpah!
Hello Mjukuu πŸ‘‹

Hivi ulimfata Mjeshi nini Sudan, sijakuona kitambo sana kwa kweli? πŸ€ͺ

Usijali Mjukuu, kesho mapema nitaweka naked
 
Mzee sharubu umenyoa vizuri hivooo lol! Kwa sauti ya Missy Gf 😊😊!!

Ile misulii leo haijaonekana vizuree babuuu badae urudiee ya misuliii 🀠😊😊!
Koh koh koh .......

Misuli imeanza kupotea, si unajua mwezi ujao natimizia miaka 79πŸ€ͺ
 
Wale mabinti wameshindikana, wanakunywa Wine za 180,000 alafu kule Jikoni waliagiza Mbuzi mzima

Walifanya nitembee kwa miguu hadi Bonyokwa [emoji2957][emoji119]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole sana ndio watoto wa mama saa100 hao babu
 
Koh koh koh .......

Misuli imeanza kupotea, si unajua mwezi ujao natimizia miaka 79πŸ€ͺ
🀠🀠🀣! Wajukuu tutakuja kukumwagia maji ya birthday...Au nasema uongo Cute Wife ??? 🀠🀠🀠
Kyuti rekodi hili usije sahau uduguuu!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna spray wanajipulizia kukata pombe
Nilikuwa sijui kwa kweli

Alafu nilijidai mjanja nikatenga pembeni laki 3 ya vyombo, lakini huwezi amini nilienda mwenye Mlimani City kufata hela zingine πŸ€ͺπŸ™Œ
 
Nilikuwa sijui kwa kweli

Alafu nilijidai mjanja nikatenga pembeni laki 3 ya vyombo, lakini huwezi amini nilienda mwenye Mlimani City kufata hela zingine [emoji2957][emoji119]

Pole hao dragon wa kuwa nao makini sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…