Selfika na JF: Snap it. Show it


Hii imekaa kiugomvi sitaki


Nipe km ile ya Joh “BOBEA” sasa ulete ya kwetu
 
Mbona unaanza kumsimanga sebuleni khaaaaaaa!!!


Wee Kantri ebu wachaaa huo ujinga
naonaa jager imefika kwa tumbo. Sehemu nilipo hapa kunaa huyu barman alikua amesimama pembeni yangu muda mrefu kidogo ananiangalia ikabidi nigeuze simu faster
, nilishtuka kidogo niangushe simu. Atakua na id humu
 
Sio kweli. Mnachanganya kati ya celebrities na selebrities. Tatizo lipo kwa hawa selebrities. Unaenda ku-date na dullah makabila unategemea nini?
Mkuu katika celeb wakike anae jielewa namuona Aunt ezekile she is so smart nampenda ata interbiew zake anaongea point sana kajala yupo vzr pia ila harmonize kamchafua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…