Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa niaba ya wamama wote; nimetumwa niulize hivi; kwa nini nyinyi wababa huwa mnawapost tu watoto bila sisi mama zao? Tena ikiwa ni kabinti jamani ndo kanapostiwa na kuwa spoiled hadi mama karoho kanashtuka: tunaomba muwe mnatupost na sisi mama zao hata siku moja moja; na sisi tunasikia raha duniani tukipostiwa. Thanks in advance

C.c Hubby
 
Naanza kukimbia mbio, hata sijui naelekea wapi dadeq... Tumekwishaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kama umechovyachovya una haki ya kukimbia
Kwa humu hapana, kuna nilimtaka kweli kweli lakini gundu linaendelea kunila, nilikula za uso baada ya kutoa ya rohoni[emoji23][emoji23][emoji23], nikataka kwenda bahari Hindi kuoga ila kwa hili sekeseke ngoja nikae na gundu langu tu.[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
PPP-Kenya.jpg
 
Back
Top Bottom