Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,000
- 27,974
Uvungu ni mmoja tu hapo (kati ya ardhi na kitako cha meza), pengine pote wataalamu tunapachukulia kama "meza yenyewe kiujumla"Juu una pajua wewe😂😂😂, Kuna uvungu ngapi hapo😂😂😂
Uvungu ni mmoja tu hapo (kati ya ardhi na kitako cha meza), pengine pote wataalamu tunapachukulia kama "meza yenyewe kiujumla"Juu una pajua wewe😂😂😂, Kuna uvungu ngapi hapo😂😂😂
sema ukifikiria kusave picha za watu sio vizuri, unaonekana kama pervert, mzee wa chabo😂 inaleta picha mbaya kwa kwelitatizo ofisi.. kazini
Rejea wahuni 6:9😂😂Uvungu ni mmoja tu hapo (kati ya ardhi na kitako cha meza), pengine pote wataalamu tunapachukulia kama "meza yenyewe kiujumla"
😅😅😅😅... ndio mtihani tunakutana nao kwenye ndoa.. mzee.. unasema kabisa sipigi tenaa... ila kuna mambo flani ukikumbuka ndani hayapatikani... unajiongezaaa...Umeshindikana! haha
Kila napopita ushakichafua kweli kweli
hii chai ntainywa kwa tabu sana😂haya mambo acha niache kuanzia sasa
😅😅😅 najitahidi sasa kuacha.. unafikiri nime bwetekaa mkuu.. ipo siku nitakuwa huru na mbali na hayo mamboo .. ila wife nae alijichanganyaaa kinomaa kunikubaliaaa 🤣🤣🤣hii chai ntainywa kwa tabu sana😂
Ahaja ngoja nimwambie😅😅😅 najitahidi sasa kuacha.. unafikiri nime bwetekaa mkuu.. ipo siku nitakuwa huru na mbali na hayo mamboo .. ila wife nae alijichanganyaaa kinomaa kunikubaliaaa 🤣🤣🤣
😅😅😅 hatokuamini hata kwa dawaAhaja ngoja nimwambie
Na ushahid pia😅😅😅 hatokuamini hata kwa dawa
TupoIntelligent businessman mida ya wanga hii
Hulali chief?Tupo
Ndio nasubili mzigo wangu hapaHulali chief?
We dogo unamwambia hivyo lectuler wako#selfika acha chenga
twende kazi
we ungekua lecturer watu wangecarry sana😂We dogo unamwambia hivyo lectuler wako
Una hatari wewe🤣🤣
Usiwek sasaiv ngoja mshamba_hachekwi alaleMtupie selfie basi wakati tubakwangua vocha😁
Mimi Lectuler wa mchongo hapa MUSTwe ungekua lecturer watu wangecarry sana😂