National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,199
Mke ni uhai.. Mke ni kila kitu.. Mie hapa hata chezea kila kitu kwenye maisha yangu, ila usimguse mke wangu kipenzi...Kumbe mnaheshimu sana wake zenu, hao wengine wataolewa na nani mkiwafanyia hivyo🚮🏃♀️?
Hao wengine nao wakiolewa itategemea na walio waoa.. maana na mie mke wangu sijui ilikuwaje kabla sijamuaoa na sitaki kujua ..
