Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Ni pisi kali au nyanya chungu?Mwachiluwi irudiwe irudiwe
Ni pisi kali au nyanya chungu?Mwachiluwi irudiwe irudiwe
pisi kali mpaka nimeona kama ni chaiNi pisi kali au nyanya chungu?
Kwamba Mwachiluwi hawezi miliki pisi kali au unataka kusemajepisi kali mpaka nimeona kama ni chai
Ahahahah hapanaMwachiluwi irudiwe irudiwe
Kwahiyo siwez miliki pis mimi punguz dharau dogo 😅pisi kali mpaka nimeona kama ni chai
Kweli rudia sijamuona wizooooAhahahah hapana
Amenifundisha @cocastic😁Wee mbea wewe
Dogo anatafuta kupigwaKwamba Mwachiluwi hawezi miliki pisi kali au unataka kusemaje
lenie mbona unapenda ugomvi aisee😅Kwamba Mwachiluwi hawezi miliki pisi kali au unataka kusemaje
Mpaka Mjep aselifike sas aKweli rudia sijamuona wizoooo
Dah nitakuchapa soonAmenifundisha @cocastic😁
Wewe ndio unataka ugomvi na Mwachiluwilenie mbona unapenda ugomvi aisee😅
shida sio pisi shida ni ukali wa pisi husika😅Kwahiyo siwez miliki pis mimi punguz dharau dogo 😅
Kabisa dogo anataka makofoWewe ndio unataka ugomvi na Mwachiluwi
Ahahahha wewe si unapenda mashangazishida sio pisi shida ni ukali wa pisi husika😅
sijui lakini, mi mshamba
mjep akiselfika naacha kabisa kulog in jf😅Mpaka Mjep aselifike sas a
Naomba ufanye sasaivmjep akiselfika naacha kabisa kulog in jf😅
atume tena chap afute, uone mwenyeweWewe ndio unataka ugomvi na Mwachiluwi
Sifanyi tena nimesusa