Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi wanaume wanaotuponda pisi za jf mbaya wanakutanaga na zipi hizooo?!!!

Mbona wote humu tuko vizuri jamani

Msiwe mnatusemaga hivyoo, mnatakiwa mtusifie tu
Mpaka umekuja kuonana na a lady from JF ume move heaven and earth,, ni shughuli kinoma
 
Hivi wanaume wanaotuponda pisi za jf mbaya wanakutanaga na zipi hizooo?!!!

Mbona wote humu tuko vizuri jamani

Msiwe mnatusemaga hivyoo, mnatakiwa mtusifie tu
Aunti kwani hujawahi kuna na wale sura za ng'ombe πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£.

Wana kazi ya kulazimisha wanaume wawafuate pm. Jf kuna wabovu ww ohoo.

We hujui tu yaani hee acha nikae kimya we Endelaa kujidanganya hivyo hivyo kwamba wabovu hawapo utashangaa na nafsi yako.


Hata mi niianzisha thread ya kuponda ujue nalenga baadhi ya watu na najua wanapita huku kimya kimya kama hawaoni vile ila wanajijua


Ila jf kuna madem wabovu bana wee na huwezi fikiria sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…