Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe wa kunisimanga na komwe langu shem?!! Kweli?
Hamna lipo vixuri kama la warwanda kusema kweli ww ni mzuri hata nyonyo hazijalala hongera sana 🫢🫢🫢.

Shavu lipo vyedi halijashuka sura ipo tight haina manyama ya ajabu 🀚🀚🀚

Upo gudo sana. 🀚
 
"Miili imedumaa" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]!!!

uduguuu una utani wa ngumii wewwe khakhakhaaaa!!

Kweli naona watu wazima tu sema wamekaukiana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Watoto wale wa 2000 hamna, tumejaa vigagula [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
 

Shem unanijaza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona wa kawaida bana
 
Kweli naona watu wazima tu sema wamekaukiana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Watoto wale wa 2000 hamna, tumejaa vigagula [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Hahahaaa... mbavoooo zangooooo memeeeee🀣🀣🀣🀣!!
 
Msinisahau kunifungashia mafushooo namie nijifukizee uduguuu nadodajee mimiii!!

Ngoja coca arudi kutoka Songea alete tujifushe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Udugu wewe hujadoda, kwa lile hips mbona mpk masela wanapiga miluzi
 
Ukorofi umeanza lini mjombaaa!!!
Enjoy your night mjomba akeee!
Kitu mnatroooo... cream πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.. Umepewa kila kitu mtoto mashaaalaaa shangazi akeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️🀞🀞✌️
 
Jamani National Anthem waache wafunge kuepuka usumbufu.

Sie wengine hatusumbuliwi, PM moja miezi 6....mbwembwe zakuwekaπŸ”’ tutapata wapi???πŸ™„
 
Shem unanijaza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona wa kawaida bana
🀣🀣🀣🀣 Kwa nilizoona humu ndani aseee upo top 3 nakuambia shem.

Acha tu kumbe nina shem mzuri hivi. Anyway mimi sikoseagi kabisa marafiki zangu wa kike wote ni wazuri kwanzia nilivyokuwa msingi hadi leo na hawakosi.


1. Sura
2. Shape

Na ww nimekuverify official βœ…βœ…βœ…. Kama pisi kali
 
Hahahaaa... Unashangaa huyu anaeniita shangazi mbona ye kakomaa zaidi yangu kwaniii huo ushangazi who which when [emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]!!!

Wapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy [emoji1739][emoji23][emoji23]!!

Acha tu humu hakuna wa kumuita mwenzie shangazi wala nyookoo ya aunt ni vibibi vilivyokosa matunzo tumejaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sijaona mtoto niwe mkweli mimi nasali dhambi nyingine za kujitakia SITAKI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…