Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna ukweli hapo. Ila mi navyojua

Shida kuna pisi kali hazijafunga pm na uthibitisho ninao. Na kuna wabovu wamefunga pia hivyo hapo haieleweki ila kama kaamua ni uhuru wake


Ili mradi hali kwako it's ok
 
Mmeanza kunijaza mjombaaa Nararaa mimii😌😌😌😌😌!!
 
Kuna ukweli hapo. Ila mi navyojua

Shida kuna pisi kali hazijafunga pm na uthibitisho ninao. Na kuna wabovu wamefunga pia hivyo hapo haieleweki ila kama kaamua ni uhuru wake


Ili mradi hali kwako it's ok
Wakafe mbelee... Siku akifunga mtoto mzuri mrembo Dr Lizzy ndio nitakubaliana na hoja yakoo... Alafu MTU kufunga PM ni kutojiamini tuuuu 😅😅😅... Kama unajiamini hubabaiki na messages za watu.. ndio maana huwa namkubali Sana cha ukorofi Nuzulati
 
wewe wa kunisimanga na komwe langu shem?!! Kweli?
Hamna lipo vixuri kama la warwanda kusema kweli ww ni mzuri hata nyonyo hazijalala hongera sana 🫶🫶🫶.

Shavu lipo vyedi halijashuka sura ipo tight haina manyama ya ajabu 🤚🤚🤚

Upo gudo sana. 🤚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…