Hahaha eti waliofunga pm hamna mtu ambaye hachat pm.Watu wanao funga PM wanaonaga wameyapatia maishaaa ya JF... Kumbe π₯΄π₯΄π₯΄π₯΄π₯΄
Utani wa ngumii huu mjombaaa!!πWatu wanao funga PM wanaonaga wameyapatia maishaaa ya JF... Kumbe π₯΄π₯΄π₯΄π₯΄π₯΄
Shem hujambo nimependa komwe lako.Siwezi kuwaleta hata mtu anikwaze, kwanza wananiongezea siku za kuishi JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aaah! Wapiiii... Kuna wanao jisikiiaaa akifunga anahisi yupo mawinguni... Hadi kuna magume gume kambale yanafungaaa... Ingawa kuna totoz zikifunga unasema saaaaaaaawaaaa π π π π π π ... Kama mzuri mzuri Antonnia huyuu sawa afungeee.. maana lolHahaha eti waliofunga pm hamna mtu ambaye hachat pm.
Tena mi nacgat na wengi waliofunga pm.
Mbona zitafunguka tu ila uwe tu mtu wa maana sasa kuwa mjinga mjinga uone kama utaweza fungua pm ya,,,,,,,,,,,, hivi hivi.
Weee si mchexo
NyΓe vitoto buanaaa [emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]
Mnaaaakazaaaaaa
Usilale umesononeka!! Kunywa βοΈ tukeshe!!!Mie nateseka moyo tuuu ππππππ
Ngoja nilale zangu tuu
Wakafe mbelee π€£π€£π€£π€£Utani wa ngumii huu mjombaaa!!π
Sema wee komaa nao ivoivoooo banaa tatizo unapanic haraka mjomba wangu warembo nenda nao aste asteee mjombaa! !
Nione Ka upo lishangazi sasa ππWee mimi lishangazi sio kitoto tuheshimiane [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu kwa selfie nilizoziona JF hakuna watoto, sema wengine miili imedumaa lkn wakubwa [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Shem hujambo nimependa komwe lako.
Una sura nzuri kweli hongera [emoji41][emoji41][emoji7]
Una nyotraaa shougaaanguuu!!!πππ!Siwezi kuwaleta hata mtu anikwaze, kwanza wananiongezea siku za kuishi JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ππππΆπΆπ Sitaki.. Acha niumie tuUsilale umesononeka!! Kunywa βοΈ tukeshe!!!
Nione Ka upo lishangazi sasa [emoji41][emoji41]
Kuna ukweli hapo. Ila mi navyojuaAaah! Wapiiii... Kuna wanao jisikiiaaa akifunga anahisi yupo mawinguni... Hadi kuna magume gume kambale yanafungaaa... Ingawa kuna totoz zikifunga unasema saaaaaaaawaaaa π π π π π π ... Kama mzuri mzuri Antonnia huyuu sawa afungeee.. maana lol
Tuma pichaaa Acha manenoSio tu lishangazi bali lishangazi kaja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"Miili imedumaa" πππππππ!!!Wee mimi lishangazi sio kitoto tuheshimiane [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu kwa selfie nilizoziona JF hakuna watoto, sema wengine miili imedumaa lkn wakubwa [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Una nyotraaa shougaaanguuu!!![emoji4][emoji4][emoji16]!
Tuma pichaaa Acha maneno
Mmeanza kunijaza mjombaaa Nararaa mimiiπππππ!!Aaah! Wapiiii... Kuna wanao jisikiiaaa akifunga anahisi yupo mawinguni... Hadi kuna magume gume kambale yanafungaaa... Ingawa kuna totoz zikifunga unasema saaaaaaaawaaaa π π π π π π ... Kama mzuri mzuri Antonnia huyuu sawa afungeee.. maana lol
Wakafe mbelee... Siku akifunga mtoto mzuri mrembo Dr Lizzy ndio nitakubaliana na hoja yakoo... Alafu MTU kufunga PM ni kutojiamini tuuuu π π π ... Kama unajiamini hubabaiki na messages za watu.. ndio maana huwa namkubali Sana cha ukorofi NuzulatiKuna ukweli hapo. Ila mi navyojua
Shida kuna pisi kali hazijafunga pm na uthibitisho ninao. Na kuna wabovu wamefunga pia hivyo hapo haieleweki ila kama kaamua ni uhuru wake
Ili mradi hali kwako it's ok