Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Kwa kweli majukumu yamebana mpaka sura ukipiga picha inakataa 😅😅Hili jibu nimelipenda sana
Kwa kweli majukumu yamebana mpaka sura ukipiga picha inakataa 😅😅Hili jibu nimelipenda sana
Dah ko wazee wa kausha damu wakifata rejesho, full kuruka ukuta😁😁.Nikishe jf kuchat ili huku mtaani niishie police 😅😅
Kaka nime jutaa😂🤣🤣😐, dah ka bando ka mchongo kame shake😂japo sijaifungua MB 3.5😬
ila nzuri😂
Jana wamekuja nimewambia wamenifananisha na pacha mwenzangu sio mimi aisee walinijazia watu mtaani😕😀😀😀Dah ko wazee wa kausha damu wakifata rejesho, full kuruka ukuta😁😁.
👉Na kuvaa kininjaaa😁
eti kameshake😂Kaka nime jutaa😂🤣🤣😐, dah ka bando ka mchongo kame shake😂
Hata hivyo umri ukiongezeka mtu unapunguza showoff za kitoto ujueKwa kweli majukumu yamebana mpaka sura ukipiga picha inakataa au unakusaliti![]()
Mafuta ya nazi na kunywa maji mengi❤️Superrr beautiful😍😍😜, aiseee ni ukwaju tu huo🙄 ndo una fanya ngozi iwe hivyo😁😁😁
Ni upumbavu ukiwatukana oh una adabu sasa akisha mtumia anafaidika nini kanikwaza sanakawaida mzee mi mwenyewe niligundua kitambo😂
Signal strength ime weka, un recognized 😁🤣😂😂eti kameshake😂
vunga tu, kama vipi usipost tenaNi upumbavu ukiwatukana oh una adabu sasa akisha mtumia anafaidika nini kanikwaza sana
Endeleza hivyoo hivyoo, umfu dishe na mdogo ako Aaliyyah 😁.Mafuta ya nazi na kunywa maji mengi❤️
Mtaje jina mi nimpe makavu, Nina vibe la kudiss masnitch 😎Ni upumbavu ukiwatukana oh una adabu sasa akisha mtumia anafaidika nini kanikwaza sana
Dah unafiki huu😂😁😁mi sioni kama ni shida😂 labda asiweke tena
Weka yoyote 🤗, huna baya😜Nimeshiba sana sasa hivi😂
Watajethere are some people here who save people's photos, for what purpose exactly are you sharing this pm, this is not childhood
Sijui English ila nimechukizwa
Unacho kifanya ni sawa na kutoa pin ya grenade, Huku ume jifungia ndani🤣😂😁.Wataje