MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,745
- 71,549
DC kwenye movie adaptation mbali na Batman sidhani kama watafanya vizuri....hamna aisee,😂
tumsubirie james gunn huku tukila hizi elseworlds za matt reeves
😅😅😅😅 Hata hazieleweki ni namba , burundi au congooo...Anhaa, ndiyo zile zenye namba BFS na BFU ? 🤣 🤣
Najua unanionaga na nafuu kichwan, ebu nifanye mpangoo dada yanguu.. 😊😊😊Aahh sasa hiyo mbona ni kawaida tu, watumishi wengi wanaoendeshwa kwenye hayo magari ambao walihamishiwa dodoma na wana familia zao dar, huwa wanasafiri sana na mahousegirl na mahouseboy wao humo kwenye hayo magari
Mazee kwenda kwenye nchi kama UK, Canada au Marekani kuna faida zake nyingi mno tu. Jambo la msingi ni kujenga daraja la kwenda na kurudi utakavyo. Sema tatizo wabongo tuna kawoga fulani hivi ambako siyo powa na kanaturudisha nyuma.Nje naonaga kama unataka kupata exposure.. Ila life bongoo tuuu. Ingawa nilikuwa kina kipindi napenda Sana maisha yangu nimalizie U.K
Sure, kingine sie wavivu wa kusaka information. Ila kama Una taarifa zote muhimu na ukajipanga unaenda huko... Sehemu inayobakia moyoni mwangu nje ya Tanzania huwa ni United Kingdom... Hayo maneno mawili tu ndio naweza nikaishi na kufurahia maisha yangu..Mazee kwenda kwenye nchi kama UK, Canada au Marekani kuna faida zake nyingi mno tu. Jambo la msingi ni kujenga daraja la kwenda na kurudi utakavyo. Sema tatizo wabongo tuna kawoga fulani hivi ambako siyo powa na kanaturudisha nyuma.
Mpango gani tenaNajua unanionaga na nafuu kichwan, ebu nifanye mpangoo dada yanguu.. [emoji4][emoji4][emoji4]
😂😂😂😂
ole wako uzingue😅😂😂😂😂
Naileta PM usilale
Picha ni kitu ya kukunyima jaman😂ole wako uzingue😅
OK mkuu nifanyie mpangoJokes aside bruv! Mbona kwenda nje inawezekana mazee....
Inabidi upate ushauri mzuri, ujue unaenda nchi gani na kwa malengo gani...
Kumbe mitaa yako🥰
Mm naenda keshokutwa nikupitie😀😀Sure, kingine sie wavivu wa kusaka information. Ila kama Una taarifa zote muhimu na ukajipanga unaenda huko... Sehemu inayobakia moyoni mwangu nje ya Tanzania huwa ni United Kingdom... Hayo maneno mawili tu ndio naweza nikaishi na kufurahia maisha yangu..
pilipili ikowapi aisee😂Muda tayarView attachment 2695255
He is!!!!Bila shaka mnatuandalia series nyingine nzuri eh